Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
WoteWanajeshi au polisi !
Mi na jua polisi tena watawala
PamojaSwali libadilike kuwa ni vipi jeshi au askari kupelekeshwa na mwanasiasa?
Huo uchawi unatumika vipi ?Ni uchawi pekee ndio hutumika kupumbaza watu.
IGP au CDF anaweza kumpigia salute DC ambaye hajusomea huo u DC na ni mtoto mdogo tu
Huo uchawi upo tu. Miaka na miaka.Huo uchawi unatumika vipi ?
Daah! umeamua kuuchoma kwa moderators ? kweli Jf hakuna amani.Huu uzi ni mzuri kwaajili ya uamsho wa wazalendo
Daah! Inafikirisha hiiHuo uchawi upo tu. Miaka na miaka.
Hujiulizi kwanini mlinda ghala la silaha mwenyewe kwanini anafokewa muda mwingine na mtu ambaye hata bastola hana mfukoni nayeye anaomba msamaha ?
PamojaKuwa na ndugu polisi tanzania ni laana
Tunasubiri wanajeshi nao tuone jinsi ya kuwahukumu mwanaume traore kasharinda kazi ya jesh
Aiseeh!Mfumo tu,
mark milley US top general aliyeteuliwa na trump alipoulizwa kama trump atagoma kuachia madaraka watafanya nini kama jeshi? Alijibu wao watafuata katiba na kumuondoa kama katiba itakavyo.
Shida inakuja kwenye shithole countries ambapo rais ndo mungu. Alaumiwe nyerere kwa katiba mbovu aliyotutungia.
Swali makini:
Inawezekana vipi wanasiasa au mwanasiasa kuwaendesha wanajeshi kadiri anavyo taka bila wao kureact against him or her kwa namna yoyote ile?