Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
- #61
Katiba gani duniani inaamuru mwanajeshi kutekeleza mauaji kwa amri ya mwanasiasa ?Nchi inaongozwa na sheria na katiba siyo suala la wanasiasa au wanajeshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba gani duniani inaamuru mwanajeshi kutekeleza mauaji kwa amri ya mwanasiasa ?Nchi inaongozwa na sheria na katiba siyo suala la wanasiasa au wanajeshi.
Ki vipiWanajeshi wengi ni wanasiasa
Sio kwa Afrika.Nchi inaongozwa na sheria na katiba siyo suala la wanasiasa au wanajeshi.
Umekuja kuleta utoto chumbani kwa baba zako, kua dogo.Jibu swali hapo juu kama umekomaa.
Wana usalama wetu nao njaa kali wanakubali lolote liliombele yaoSwali makini:
Inawezekana vipi wanasiasa au mwanasiasa kuwaendesha wanajeshi kadiri anavyo taka bila wao kureact against him or her kwa namna yoyote ile?
We si ni mtu mzima uliyekomaa.Umekuja kuleta utoto chumbani kwa baba zako, kua dogo.
AiseehWana usalama wetu nao njaa kali wanakubali lolote liliombele yao
Ukiambiwa uue mama yako, baba yako, mke wako na watoto wako na huyo amri jeshi mkuu ambae ni mwanasiasa utatekeleza ?Kuna mtu anaitwa amiri jeshi mkuu
Huyo ni bosi wao
Jeshi ni nidhamu na utii bila hivyo hakuna jeshi
Kugomea amri za wakubwa sijajua adhabu zake zikoje lakini ni kosa kubwa sana
Umekwisha sema kureact against sasa kuna swali gani tena hapo ? Dogo umevuta bangi unaelewa kweli unacho andika ?We si ni mtu mzima uliyekomaa.
Jibu swali wanajeshi wanawezaje kureact against serikali?
Unanipotezea muda wangu.Umekwisha sema kureact against sasa kuna swali gani tena hapo ? Dogo umevuta bangi unaelewa kweli unacho andika ?
Jeshi la Tanzania, amkeniSwali makini:
Inawezekana vipi wanasiasa au mwanasiasa kuwaendesha wanajeshi kadiri anavyo taka bila wao kureact against him or her kwa namna yoyote ile?
Siku nyingine usiwe unacomment nyuzi za baba zako kacomment nyuzi za watoto wenzako dogo.Unanipotezea muda wangu.
Kwani limelala usingizi ?Jeshi la Tanzania, amkeni
Kwa sababu wanasiasa ndo wanaamua mwanajeshi analipwa shingapi, atalipwa lini, lini ataenda vitani, ataenda akiwa na vitendea kazi gani, promotion apewe au asipewe na zaidi ya hapo.Swali makini:
Inawezekana vipi wanasiasa au mwanasiasa kuwaendesha wanajeshi kadiri anavyo taka bila wao kureact against him or her kwa namna yoyote ile?
Una matatizo wewe.Siku nyingine usiwe unacomment nyuzi za baba zako kacomment nyuzi za watoto wenzako dogo.
Kidogo inafikirisha, lakini hii inaweza kuwa sababu ki vipi mpaka mwanajeshi anapokea orders za kipuuzi kutoka kwa mwanasiasa ?Kwa sababu wanasiasa ndo wanaamua mwanajeshi analipwa shingapi, atalipwa lini, lini ataenda vitani, ataenda akiwa na vitendea kazi gani, promotion apewe au asipewe na zaidi ya hapo.
Maisha yote ni siasa.
Kuna watu JW wamevaa vyeo vizito ila hawajui huzito wao!Swali makini:
Inawezekana vipi wanasiasa au mwanasiasa kuwaendesha wanajeshi kadiri anavyo taka bila wao kureact against him or her kwa namna yoyote ile?