Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Uongo wa darasa la 2 F. Wa kitoto sana.Tatizo wanafadhiliwa na shirika la ujasusi la Marekani na Uingereza, kila mara wanamuita Lissu Ubelgiji kufanya naye vikao vya siri na kumpa mamilioni ya dola ili asababishe machafuko.
Cha kutanya ni kama alivyofanya Mugabe kwa Moses Tsvangirai, mpaka leo nchi iko chini ya wazalendo waliopigania uhuru
Nakubaliana nawe endapo tutakubaliana kwamba siasa inahitaji mtaji wa kipesa kukamilishana na mtaji wa watu na mipango.Siasa sio pesa tu ingekuwa pesa Lowassa angekuwa Rais wa Tanzania
Mkapa, Mwinyi na Magufuli wasingekuwa Marais
Siasa ni sayansi
Umeona uchaguzi wa Marekani
Trump katumia 350 us dollars na Kamala Katumia dollar bilion 1 lakini Trump kashinda !!
Pesa sio kila kitu kwenye siasa sema hapa kwetu CCM wanafanya wanavyotaka sababu ya Watanzania wamelala pono!!
Mbowe tu ndio anaiwezea Chadema kwa nyakati hizi za sasa.Harakati ndani ya Chadema zinachangamka siku hadi siku..
CCM wamepuuza siasa za majadiliano na maridhiano ndani ya CDM na nje ya CDM..
Sio ACT wala vyama vidogo kwamba vinapatiwa ahueni...
Upande wa Chadema shida inaonekana Freeman Mbowe amekuwa mpole sana kwa dola hadi kufika kipindi anaambiwa amepewa Rushwa ..
Na hili limetokana na maridhiano ya Mbowe na Dola ambayo hayajazaa matunda yeyote...
Wahafidhina wanasema lazima Mbowe aachie Ngazi kwakuwa Chama hakiwezi kuendeshwa kwa siasa zile zile za miaka takribani kumi iliyopita...
Kwa sasa CDM ina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa, wachache zaid toka uchaguzi wa 2005...
Sababu za wahafidhina ni kwamba Mbowe amekuwa mpole sana kwa Dola na CDM kimekuwa chama cha majadiliano... "Wanataka mabadiliko"
Hatari ninayoiyona, wanaoongoza mapambano hayo hawana cha kupoteza, wakiongozwa na wafuatao..
1. Tundu Lissu
2. Petet Msigwa
3. Liberatus Mwangombe
4. Lyenda
5. John Jambo Media
6. John Heche
7. Saed Kubenea
8. Rose Mayemba
9. Wilbroad Slaa
10. Rose Mwakitwange
11. Lifeof Mshamba etc
Pamoja na kundi hili la wazi, bado kuna wanachama wengi wanadhani Mbowe ni kikwazo kwao kufanya harakati za kuhakikisha hawaendi kwenye uchaguzi mkuu hali ikiwa kama ilivyo na wanataka 'mabadiliko' ya uongozi haraka sana.
Kwa Mtazamo wangu kutokana na niayoyaona mtandaoni ni kama wanakaribia kushinda...
Na ukitazama kwa undani ni kama hakuna mbinu mbadala ya kufanya CDM iache "kukatwa" kama ilivyokuwa 2020....
Muda utakuwa rafiki mzuri, lakini muasisi wa yote haya ni kukwama kwa Maridhiano, au angalao, minimum reforms kutokufanya kazi kama ilivyoyarajiwa...
Siasa zetu kubadilika sana kuelekea 2025, pengine kuliko tulivyotarajia?
Muda utasema.
View attachment 3172856View attachment 3172859
Hawatak demokrasia kwa msingi upi?Ndani ya CDM bado hawaaminiani kihusu kuachia madaraka hasa nafasi ya juu ya mwenyekiti. Halafu wanataka demokrasia ya nchi. Kituko hiki. Tungekua na watu makini wa kuhoji demokrasia Chadema wasingekua chama cha siasa hadi sasa hivi.😃😃😃😃😃😃.
Wanaharakati kuachiwa Chadema kwa nyakati hizi si salama sana, ustaarabu kama wa Mbowe bado unahitaji Chadema.No, nadhani wamwachie Lissu kwanza, siasa za majadiliano CCM hawazitaki
Lissu Mwenyekiti Heche Katibu Mkuu.Propaganda
Lissu ndiye kiongozi pekee aliyebaki Hana makando kando chadema
Weka na Heche
Chama kikienda na Hawa nakuhakikishia 2025 tutagawana mbao!!
Propaganda ya kitoto kabisa hii ni punguani kama wewe tu anaweza kuiqmini.Tatizo wanafadhiliwa na shirika la ujasusi la Marekani na Uingereza, kila mara wanamuita Lissu Ubelgiji kufanya naye vikao vya siri na kumpa mamilioni ya dola ili asababishe machafuko.
Cha kutanya ni kama alivyofanya Mugabe kwa Moses Tsvangirai, mpaka leo nchi iko chini ya wazalendo waliopigania uhuru
Watu wana hamu sana na siasa za namna hii,Propaganda
Lissu ndiye kiongozi pekee aliyebaki Hana makando kando chadema
Weka na Heche
Chama kikienda na Hawa nakuhakikishia 2025 tutagawana mbao!!
Mkuu, huyo bado mtoto, kama hauamini basi soma hoja zake.Uongo wa darasa la 2 F. Wa kitoto sana.
Uongo wa darasa la 2 F. Wa kitoto sanaTatizo wanafadhiliwa na shirika la ujasusi la Marekani na Uingereza, kila mara wanamuita Lissu Ubelgiji kufanya naye vikao vya siri na kumpa mamilioni ya dola ili asababishe machafuko.
Cha kutanya ni kama alivyofanya Mugabe kwa Moses Tsvangirai, mpaka leo nchi iko chini ya wazalendo waliopigania uhuru
Lisemwalo lipoPropaganda ya kitoto kabisa hii ni punguani kama wewe tu anaweza kuiqmini.
Mmhhh....!!! Mbao za wapi!? Chadema ni kama ndege wanaoogelea baharini au ziwani, ukiona kabakiza kichwa juu, unaweza kudhani mwili wake unafika mpaka kwenye kina cha bahariPropaganda
Lissu ndiye kiongozi pekee aliyebaki Hana makando kando chadema
Weka na Heche
Chama kikienda na Hawa nakuhakikishia 2025 tutagawana mbao!!
Siasa za Lissu ndo za uharakati ndani yake ndo uzaa matokeo kwa AfrikaUnajua ukiitazama kwa jicho la mtoto wa chekechekea CCM ,utagundua kua ni CCM ambayo Ndani yake kuna GOVERNMENT -MILITARY SYMBIOSIS.
Aina hiyo ya Uhusiano ambayo chama na jeshi vinategemeana utakubaliana namm kua UNAHITAJI SIASA ZA KIANAHARAKATI KAMA ZA LISSU, SILAA , N.K.
hizi Siasa za Akina LISSU, Huwa zinafanikiwa Kwa sababu kua Moja, HUFANIKIWA KUTEKA MIOYO YA WATU NA KUWAJAZA HASIRA .
SIASA NI SUALA LA HISIA, KAMA ULIVYO MPIRA NA MAPENZI.... MTU YUPO TAYARI KUJIUA, PALE ANAPOONA KITU HAKIPO SAWA.
Hivo Kwa Afya ya CDM , Mbowe amuachie LISSU, Nyinyi ni mashuhuda mpelampela wa LISSU ,kwenye UCHAFUZI wa 2020, mliuona.