Pre GE2025 Wanasiasa wenye msimamo mkali wanakaribia Kushinda, Kuongoza CHADEMA kuelekea 2025?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uongo wa darasa la 2 F. Wa kitoto sana.
 
Nakubaliana nawe endapo tutakubaliana kwamba siasa inahitaji mtaji wa kipesa kukamilishana na mtaji wa watu na mipango.
Mara kadhaa umemwona lisu akichangisha ili unachokiita sayansi kitekelezeke. Hata kuhamasisha na kufahamisha inahitaji pesa.
Kila kitu pesa i katkat.
Mbowe anahitajika sana CDM hasa kutia nguvu ya kipesa.
Lakin kiukweli amefeli kuleta matokeo chanya hadi kaanza kushtukiwa umamluki.
Kwa usingizi watanzania wamo, ni ngumu kutegemea nguvu ya umma. Njaa imekaza.
Watu wamezoea hali ngumu had wakaamin ni majaliwa.
Mbaya zaid wanaotaka kuwa mbadala hawaonekan kumaanisha kama wa Sahel.
Hata kumaanisha ki BUKUSI BUKUSI!
This country is too big to rely on only 3 brains (LISU, MWABUKUSI, HECHE)
 
Mbowe tu ndio anaiwezea Chadema kwa nyakati hizi za sasa.
 
Hawatak demokrasia kwa msingi upi?

Uchaguzi ukifika si kila mmoja atachukua form apambane na team yake?

Kujenga chama cha siasa kuwa kama CDM ni miaka na mikaka
 
Propaganda ya kitoto kabisa hii ni punguani kama wewe tu anaweza kuiqmini.
 
Propaganda

Lissu ndiye kiongozi pekee aliyebaki Hana makando kando chadema

Weka na Heche

Chama kikienda na Hawa nakuhakikishia 2025 tutagawana mbao!!
Watu wana hamu sana na siasa za namna hii,

Tutafika kwa hayo mapambano?

Siasa za katikati pia CCM hawazitaki... Pengine wakazielewa hizi za kina Lissu
 
Uongo wa darasa la 2 F. Wa kitoto sana
 
Propaganda

Lissu ndiye kiongozi pekee aliyebaki Hana makando kando chadema

Weka na Heche

Chama kikienda na Hawa nakuhakikishia 2025 tutagawana mbao!!
Mmhhh....!!! Mbao za wapi!? Chadema ni kama ndege wanaoogelea baharini au ziwani, ukiona kabakiza kichwa juu, unaweza kudhani mwili wake unafika mpaka kwenye kina cha bahari
 
Ili andiko limekaa kitapeli , Mbowe anaondoka pale endapo kura hazikutosha kupitia viakao halali vya chama , utakua pale mpaka wanachama watakapo sema inatosha, chadema ni tasisi ,ipo na maamuzi yake kupitia vikao halali
 
Siasa za Lissu ndo za uharakati ndani yake ndo uzaa matokeo kwa Afrika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…