Wanataka kutoana roho kwa mali alizoacha marehemu baba yao General mbuge

Wanataka kutoana roho kwa mali alizoacha marehemu baba yao General mbuge

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Mali za urithi Zina mitihani sana. Mapema tu,marehemu ana miezi miwili ugomvi ushaanza
 

Attachments

  • Screenshot_20241231_151117.jpg
    Screenshot_20241231_151117.jpg
    193.3 KB · Views: 3
Kwa mbuge, automatically hilo lingetokea, yule mzee pressure imemplekesha sana. Wanawake aliokua nao wote pasua kichwa. Mbuge mapema tu alikua anapoteza mali, alishinda kesi na mwanamke wake, three weeks mbele amefariki. Acha wagombee.
Kama alizaa na wanawake zaidi ya mmoja, ni ngumu sana kwa watoto kuongea lugha moja.
 
MATAJIRI WENGI WA KIAFRIKA WANA UTAJIRI USIYORITHIKA...
Mtu timamu lazima uwe na mpango wa kupigania URITHI kwa ajili ya kizazi chako kijacho...
Kwa siye ambao hatukurithi kitu ni kwamba wazazi walifeli kimaisha..
Mzazi unataka baadae mtoto akusaidie wakati maisha yake kayapigania from zero, hata kipande cha shamba hujamrithisha.
 
Back
Top Bottom