loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,376
- 1,752
Daa kumbe hyu mwamba alishatembea,nakumbuka alikuwa mkuu wa kikosi ruvu jkt baada ya aliekuwepo kufa ghafla,wakat wa magu ndio akapanda vyeo fasta fasta sana,ilikuwa 2013 ruvu jkt nikiwa pale kwa mujibu wa sheria baada ya kumaliza form 6,jamaa alikuwa kamanda kweli kweli.