Wanataka kutoana roho kwa mali alizoacha marehemu baba yao General mbuge

Wanataka kutoana roho kwa mali alizoacha marehemu baba yao General mbuge

Wabongo au waafrika nina uhakika hawakaagi na mali za urithi, zitauzwaga tu hata kama sio kwa shari. Ukikaa na waliobakia wazima, hawezi kukosekana hata mtu mmoja mwenye wazo la kupauza pale ili apate hela YA KUFANYA MAMBO YAKE eidha kula au mtaji wa biashara au kujenga kwake. Hapo ndo mchanganyiko wa urojo na kabeji unapoanzia
Mwanangu hujakosea umepiga kwenye mshono kwenye mali za urithi huwa yupo mmoja ambae Ata taka vitu viuzwe
 
Ili kuepeuka migogoro ya mirathi mara baada ya Marehemu kufariki ni kujitahidi kuandika mirathi ikiwa ni pamoja na kugawanya mali kwa Wanafamilia kabla muhusika hujafa

Poleni sana Wanafamilia kupoteza Kichwa cha familia
 
MATAJIRI WENGI WA KIAFRIKA WANA UTAJIRI USIYORITHIKA...
Mtu timamu lazima uwe na mpango wa kupigania URITHI kwa ajili ya kizazi chako kijacho...
Kwa siye ambao hatukurithi kitu ni kwamba wazazi walifeli kimaisha..
Mzazi unataka baadae mtoto akusaidie wakati maisha yake kayapigania from zero, hata kipande cha shamba hujamrithisha.
Inasikitisha sana mkuu, ngozi nyeusi tuna shida kubwa......mzazi kutwa kulalamikia watoto hawamsaidii wakati hakuna mali alizowarithisha na wao wanajitafuta from scratch.
 
Yaan,
Sijui kwa Nini miafrika na watu weusi hutolea macho mali za marehemu..yaan baada ya mwenda zake kufariki ni Bora kuandika wosia wa wanasheria kabisa...

Kuna watoto wa nje ya ndoa nao huja kwa kadi wakitaka mgao wa pesa na mali..

Ni mwezi august nilimpoteza uncle,
R.i.p Uncle msiba wako umenifundisha jinsi ya kujipanga kwa sisi tulio bakia ndugu wanatishia Hadi kuuanaa/ kila mtoto anamwandama mwenzakee
 
Mali za baba yako ni mali zako pambaneni hadi tone la mwisho kuna ndugu wajinga sana.
Hahaha mkuu nilisimamia show ya marehemu mzee

mali mzee tukamtoa babamdogo kama msimamizi tukabaki watoto

WA Nje wakalianzisha ati walipewa kiwanja SEHEMU flan na babayao hakuna makaratasi nikwasimamia show YAAN walivyow washenzi mzee alifia dar alazikwa mbweni ..msimamizi kaenda kufungua kesi Moshi kitengeneza Rita kafua Moshi kazikiwa moshi

Akijua turachoka KWENDA Sept tulihitimsha kwa ushindi kila mtotoa pasu
N kazi sanaa

KUNA wapuuzi humu waliandika mali za babako sio zaoo kwenye post nkajibu za baba YENU subirini nishinde .......

Unafika wakati unahisi Hawa mbwa walihusika na kifo chanmarehemu
 
Watoto wa kishua vilaza sana.

Huyo mwandishi.. ni kama mtu ambaye hajaenda shule.

Na hapo unakuta kasomeshwa expensive schools

Badala ya kumpa demand notice ya kisheria huyo wanaemdai... Wanaandika kwenye taarifa kwa uma kwamba tunakupa siku mbili uwe umelipa milioni 60.

Content zipo vuru vuru
 
Kazi kweli kweli....... Ni wachache waliofariki wenye status, Mali, na ukwasi sijasikia kesi za hivi....

Lakini walio wengi ni changamoto

Wanasheria tusaidieni kutoa elimu juu ya wosia na mirathi maake walio wengi hawafanyi hivyo na kuacha familia inateseka kwa kugombania Mali.....

secretarybird
kama ulikuwa hujui, wosia ndio chanzo kikuu cha migogoro....✍️
 
Screenshot matokeo yako ya NECTA ya somo la kiswahili na mimi niweke yangu...au ukiweza hata cheti kizima cha form 4.
Ili yakusaidiebni
HUYU MBWA MSOMEENI ZAB 109 SAA 12 JION SIKU 7
ANAMFWATA BABA YENU
Jidanganye mkuu hakuna kitu kama hicho wadhulumaji wanaishi miaka mingi Ila watu wema wanaishi miaka michache
 
Mwanangu haya mm hayanaga cha mshua omba yasikukute
Watoto wa kishua vilaza sana.

Huyo mwandishi.. ni kama mtu ambaye hajaenda shule.

Na hapo unakuta kasomeshwa expensive schools

Badala ya kumpa demand notice ya kisheria huyo wanaemdai... Wanaandika kwenye taarifa kwa uma kwamba tunakupa siku mbili uwe umelipa milioni 60.

Content zipo vuru vuru
 
Back
Top Bottom