Wanataka kutoana roho kwa mali alizoacha marehemu baba yao General mbuge

Wanataka kutoana roho kwa mali alizoacha marehemu baba yao General mbuge

Watoto wa kishua vilaza sana.

Huyo mwandishi.. ni kama mtu ambaye hajaenda shule.

Na hapo unakuta kasomeshwa expensive schools

Badala ya kumpa demand notice ya kisheria huyo wanaemdai... Wanaandika kwenye taarifa kwa uma kwamba tunakupa siku mbili uwe umelipa milioni 60.

Content zipo vuru vuru
Ndio wasomi hao wa shule za ghalama
 
Waswahili tuna roho ya kwanini sana,watoto wanapigania mali yao wanayodhulumiwa kwa kutopewa mgao wao kama inavyostahili mtu anaandika eti wanatoana roho! Yaani utafikiri watoto wanagombana wenyewe kwa wenyewe!
 
UJINGA UJINGA TU.......

Kila siku watu wanalamba mchanga ila mijitu myeusi haijifunzi. Ukiangalia vizuri tatizo ni UBINAFSI ndo unasumbua ngozi nyeusi.

Mtu unamali wala hujishughulishi kuandaa urithi na unakuta wengi tu ni wasomi na wanaexposure ila ROHO MBAYA hata kwa watoto wako wa kuwazaa na mama zao inapelekea mtu anashindwa kufanya maamuzi ya busara kabla hajalamba mchanga.

Wale washamba wanaosema NIMEKUSOMESHA NA HUO NDO URITHI WAKO hawa ndo familia zao zinaongoza kwa magomvi ya mirathi baada ya wenye mali kulamba mchanga. Kumsomesha mtoto uliyemkojoa mwenyewe sio hisani ni WAJIBU kama ungetaka kufaidi mali zako TUMIA KINGA.

Washamba wengine badala ya kurithisha watoto wa kuwazaa au kuwashirikisha kwenye mali na miradi. Unakuta jitu linaona bora lishirikishe ndugu zake. Alafu likifa linaacha KAMZOZO huku duniani na kuleta aibu kwasababu ndugu na wanaona kaka yao au mdogo wao mbona aliwathamini kuliko nyie alafu saivi mnawatenga kwenye mali.Yaani kuna mijitu inalaana humu duniani.

Waafrica( BLACK MONKEYS) wanaroho mbaya ndomaana hakuna utajiri unaovuka kizazi kimoja kwenda kingine.
 
Mali za urithi Zina mitihani sana. Mapema tu,marehemu ana miezi miwili ugomvi ushaanza
Hapa suala nalojiuliza, hivi wazee wetu wana desturi ya kuwashirikisha watoto wao kwenye masuala ya maamuzi hasa kwa vitu vyenye maslahi kama hivi??

Au ndio awareness wanaipata mpaka baada ya mhusika kufariki??

Ifike wakati tuwe kama wahindi ambao huanza kurithisha biashara taratibu kiasi kwamba likitokea la kutokea tayari mtoto au mrithi anakuwa na ufahamu wa kutosha wa mali na namna ya kuenenda pasi na utata
 
N ngumu Sasa imagine unaofanya nao biashara ni watu wazima wenzako 50 years and above Yan unakuwa na ule wasiwasi huyo mtoto ataweza kweli kutalk business na hawa wazee Yan hutaki kumuingiza kwenye giant issue Tunaamini akifika 30 ndo atakula kampuni
Hapa suala nalojiuliza, hivi wazee wetu wana desturi ya kuwashirikisha watoto wao kwenye masuala ya maamuzi hasa kwa vitu vyenye maslahi kama hivi??

Au ndio awareness wanaipata mpaka baada ya mhusika kufariki??

Ifike wakati tuwe kama wahindi ambao huanza kurithisha biashara taratibu kiasi kwamba likitokea la kutokea tayari mtoto au mrithi anakuwa na ufahamu wa kutosha wa mali na namna ya kuenenda pasi na utata
 
Hapa suala nalojiuliza, hivi wazee wetu wana desturi ya kuwashirikisha watoto wao kwenye masuala ya maamuzi hasa kwa vitu vyenye maslahi kama hivi??

Au ndio awareness wanaipata mpaka baada ya mhusika kufariki??

Ifike wakati tuwe kama wahindi ambao huanza kurithisha biashara taratibu kiasi kwamba likitokea la kutokea tayari mtoto au mrithi anakuwa na ufahamu wa kutosha wa mali na namna ya kuenenda pasi na utata
NDUGU MSILALAMIKIE

WAZEE WAZAZII

WATOTO WENGINEE WASHENZII

BABA AKIWA ANAUMWAA HAWANA HATA TIME NAOO KABISAAAA

AKIKATA MOTOOO WANALIAA NA MALI ZAOO


M NILIJITAHIDI SANA KUWATUNZA MAMA NA BABA KABLA YA KIFO

MSIBA WA MAMA KAKA AKUAMINI

TUKO WAWILI TU

ANA VIWANJA. VINNE VIKUBWA

KIMOJA KAANDIKA JINA LANGU KEA MWANASHERIA NA DOC XOTE ZIKAWEKWA MEZANI

AKASEMA REST WAGAWANE EQUAL

TUKAENDA MAHAKAMAN AKAPINGA HAHA WALA SIKUSHINDAN NAE NKAMWEKA WAKILI

SIKU AKIENDA ANAKUTANA NA JAMAA NA DOCS NA MEENYEKITI NA KATIBI WA KIKAO WOTE WAKITHIBITISHA N DOCS HALALI

CHEKA
KTK WALIOSAINI KWA MWANASHERIA N MMJOMBA WANGU KAKA WA MAMA

NA KTK KUCHAGUA MWENYEKITI NA KATIBI KIKAOONI

KAKA AKAOMBA MJOMBA AWE MWENYEKITI

WATUU WEWEEEEE

MUNGU FUNDII

HAWA WATOTO NAWAJUA WAMEMSAIDIA SANA MZEE WAOO HAWAHUSIKI NA HILI.....

ILA KESI ZINGINE WEWEEEEEE...UNAKUTA MZAZI KAANDIKA KABISAA XXXYYY WASIHUSIKE NA MALIZAKE KABISA NA MBELE TA MWANASHERIA
 
Inaelekea watoto hawajaandaliwa kusimama wenyewe. Walibebwa na ukuu wa baba.
Sasa wanahangaika. Na kama ni watoto wa Mama tofauti ndio balaa kabisa
N wakubwa

Na wanajielewa

Hapa cha kufanya wasiruhusuu mbwa yoyotee kujiita msimamizi waoo

Waoo wasimame kama waoo

Simple

Wasisahaau mama zaoo HATA kama n wadogo. Laana zake hawata kaa wasahauu

Baba anaona mzozo mzimaaaa kachuna tu
 
KUNA watotooo mafyaaa weweee


M mama Yangu kakaa hospt wiki 2


Kaka Yuko chanika anampigia unasuburi nifee ANASEMA mama wateja wanejaa mpaka naogopa

Nitakuja tu

Weweeee alikutana na kitu kizitooo

Na kesi niliposhinda tu fyuuuuu

Nkakipiga bei apambane na hali yakee
 
Back
Top Bottom