loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,376
- 1,752
Sasa je nini kifanyikeMATAJIRI WENGI WA KIAFRIKA WANA UTAJIRI USIYORITHISHWA...
Father Kavuta two month agoDaa kumbe hyu mwamba alishatembea,nakumbuka alikuwa mkuu wa kikosi ruvu jkt baada ya aliekuwepo kufa ghafla,wakat wa magu ndio akapanda vyeo fasta fasta sana,ilikuwa 2013 ruvu jkt nikiwa pale kwa mujibu wa sheria baada ya kumaliza form 6,jamaa alikuwa kamanda kweli kweli.
Sasa shida ilkua nini alishindwa kukahandleWanawake ndio wanasumbua, mzee alichukua kabinti kadogo alipostaafu.
Umejibu kwa busara sana,Siteseki bali kuna la kujifunza mkuu
Daa sikujua mkuu,baada ya kuona hilo jina na kuchk mtandaon ndo naona picha zake na mishumaa .Father Kavuta two month ago
Mwamba kajibu kwa kejeli kutaka kunipandisha temper 😅😁Umejibu kwa busara sana,
Tatizo hizo Mali baba yenu alizipata kwa njia halali?Mali za urithi Zina mitihani sana. Mapema tu,marehemu ana miezi miwili ugomvi ushaanza
Hii inaonesha waafrika wengi hatuandai watoto kusimamia miradi ya familia
[/QUOTE
Ngoja ni kujibu mkuu
Mtoto Ana miaka 22 Aya kampuni yako wafanyakazi wote ni above thirty Huyu mtoto yeye anawaza iPhone na kula piza unafikiri utamkabidhi madaraka kama hayo mkuu!
Kuwasimamia watu ambao ni wakubwa kwake
Unakuta ndio alizipata kwa njia halali Ila Sasa muda wote kuna Ile kauli mbiu jamani hao" bado watoto "🤣msiwaruhusu waingilie mambo ya wakubwaTatizo hizo Mali baba yenu alizipata kwa njia halali?
Kama hakuzipata kwa njia iliyo halali,mali zinataka kurudi zilikotoka!
Kakuta mtu mwenyewe yuko immotional stable.Mwamba kajibu kwa kejeli kutaka kunipandisha temper 😅😁
😁Itategemea na siku Ila wanaume huwa hatuchambaniKakuta mtu mwenyewe yuko immotional stable.
Ha ha ha ! Naam kipolo huliwa na maji moto.Wanawake ndio wanasumbua, mzee alichukua kabinti kadogo alipostaafu.
KATAA NDOAMbuge mapema tu alikua anapoteza mali
Wabongo au waafrika nina uhakika hawakaagi na mali za urithi, zitauzwaga tu hata kama sio kwa shari. Ukikaa na waliobakia wazima, hawezi kukosekana hata mtu mmoja mwenye wazo la kupauza pale ili apate hela YA KUFANYA MAMBO YAKE eidha kula au mtaji wa biashara au kujenga kwake. Hapo ndo mchanganyiko wa urojo na kabeji unapoanziaMATAJIRI WENGI WA KIAFRIKA WANA UTAJIRI USIYORITHIKA...
Mtu timamu lazima uwe na mpango wa kupigania URITHI kwa ajili ya kizazi chako kijacho...
Kwa siye ambao hatukurithi kitu ni kwamba wazazi walifeli kimaisha..
Mzazi unataka baadae mtoto akusaidie wakati maisha yake kayapigania from zero, hata kipande cha shamba hujamrithisha.
Kuna uhusiano gani yule bwana kazaliwa 1963 ndoa yake ilikua na miaka zaidi ya 25 kafa akiwa ndoani what is your logic point hapo🤔KATA NDOA
Hawa watoto kama walipewa elimu wanataka na Mali Tena!Unakuta ndio alizipata kwa njia halali Ila Sasa muda wote kuna Ile kauli mbiu jamani hao" bado watoto "🤣msiwaruhusu waingilie mambo ya wakubwa