Mzazi anaweza gawa mali katika upendeleo mkubwa,...hivyo wosia ukachukuliwa kama ni feki kwa baadhi ya warithi na hivyo kuto kukubaliwa na kudhua taharuki,.......ni vyema zaidi sheria ikawekwa juu ya mgawanyo wa mali, itakayo onyesha bayana baada ya mmiliki kufariki, mali zitagawanywa kama sheria itakavyo na si WOSIA,...... kiufupi sikubaliani SANA na wosia...Unaweza share experience tuone lakini Kuna namna inapunguza migogoro inategemea na familia
Huna sifa ya kunirekebisha uandikaji wangu.Ili yakusaidiebni
Jidanganye mkuu hakuna kitu kama hicho wadhulumaji wanaishi miaka mingi Ila watu wema wanaishi miaka michache
Hahaha nakuheshimu brooacha kutetea ujinga, jifunze kiswahili wewe
Hawa watu wanapaswa wamtafute Mwanasheria mzuri na mzoefu ili awaongoze vizuri katika ku-handle suala hili. La sivyo wanaweza wakapoteza haki zao kwenye suala hili.Mali za urithi Zina mitihani sana. Mapema tu,marehemu ana miezi miwili ugomvi ushaanza
Hapo kosa ni la mzee, Kwa nini hakupangilia vitu kabla umauti haujamfika?Kazi kweli kweli....... Ni wachache waliofariki wenye status, Mali, na ukwasi sijasikia kesi za hivi....
Lakini walio wengi ni changamoto
Wanasheria tusaidieni kutoa elimu juu ya wosia na mirathi maake walio wengi hawafanyi hivyo na kuacha familia inateseka kwa kugombania Mali.....
secretarybird
Mkuu wote mlikua watoto wa Baba mmoja kwanini msinge gawana wote?Hahaha mkuu nilisimamia show ya marehemu mzee
mali mzee tukamtoa babamdogo kama msimamizi tukabaki watoto
WA Nje wakalianzisha ati walipewa kiwanja SEHEMU flan na babayao hakuna makaratasi nikwasimamia show YAAN walivyow washenzi mzee alifia dar alazikwa mbweni ..msimamizi kaenda kufungua kesi Moshi kitengeneza Rita kafua Moshi kazikiwa moshi
Akijua turachoka KWENDA Sept tulihitimsha kwa ushindi kila mtotoa pasu
N kazi sanaa
KUNA wapuuzi humu waliandika mali za babako sio zaoo kwenye post nkajibu za baba YENU subirini nishinde .......
Unafika wakati unahisi Hawa mbwa walihusika na kifo chanmarehemu
Mkuu mfano wewe una wake wawili na watoto kumi sasa hapo uandae urithi wanini?UJINGA UJINGA TU.......
Kila siku watu wanalamba mchanga ila mijitu myeusi haijifunzi. Ukiangalia vizuri tatizo ni UBINAFSI ndo unasumbua ngozi nyeusi.
Mtu unamali wala hujishughulishi kuandaa urithi na unakuta wengi tu ni wasomi na wanaexposure ila ROHO MBAYA hata kwa watoto wako wa kuwazaa na mama zao inapelekea mtu anashindwa kufanya maamuzi ya busara kabla hajalamba mchanga.
Wale washamba wanaosema NIMEKUSOMESHA NA HUO NDO URITHI WAKO hawa ndo familia zao zinaongoza kwa magomvi ya mirathi baada ya wenye mali kulamba mchanga. Kumsomesha mtoto uliyemkojoa mwenyewe sio hisani ni WAJIBU kama ungetaka kufaidi mali zako TUMIA KINGA.
Washamba wengine badala ya kurithisha watoto wa kuwazaa au kuwashirikisha kwenye mali na miradi. Unakuta jitu linaona bora lishirikishe ndugu zake. Alafu likifa linaacha KAMZOZO huku duniani na kuleta aibu kwasababu ndugu na wanaona kaka yao au mdogo wao mbona aliwathamini kuliko nyie alafu saivi mnawatenga kwenye mali.Yaani kuna mijitu inalaana humu duniani.
Waafrica( BLACK MONKEYS) wanaroho mbaya ndomaana hakuna utajiri unaovuka kizazi kimoja kwenda kingine.
UNAPINGANA NA MAREHEMU MKUU BORA ASINGEANDIKA ANGEONGEA NOWNGEWAZA KUMFIKIRIA HATA ROBOMkuu wote mlikua watoto wa Baba mmoja kwanini msinge gawana wote?
Lakini ukishaa andaliwa kisheria ukathibitishwa na mwanasheriaMzazi anaweza gawa mali katika upendeleo mkubwa,...hivyo wosia ukachukuliwa kama ni feki kwa baadhi ya warithi na hivyo kuto kukubaliwa na kudhua taharuki,.......ni vyema zaidi sheria ikawekwa juu ya mgawanyo wa mali, itakayo onyesha bayana baada ya mmiliki kufariki, mali zitagawanywa kama sheria itakavyo na si WOSIA,...... kiufupi sikubaliani SANA na wosia...
Hapo ni changamoto aseeh.....Hapo kosa ni la mzee, Kwa nini hakupangilia vitu kabla umauti haujamfika?
Sisi tujifunze mkuu yasije yasije yakatokea Kwa watoto wetu.Hapo ni changamoto aseeh.....
Hilo nalisema kila siku braza Asante kwa kuonaSisi tujifunze mkuu yasije yasije yakatokea Kwa watoto wetu.
Na nyaraka za kugushi zitatengenezwa faster na tarehe kurudishwa nyuma! Yaani sijui kwa nini kuna watu wanapenda kuchezea mali za Marehemu wakati warithi halali wapo!!??Kama kawaida yetu Bongo...apo utaanza kusikia marehemu alikua anadaiwa na blah blah nyingi ikiwemo wameuziwa