Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wacha aolewe bwana maana yuko head over heels na kazimika haswa.Penzi jipya hilo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha aolewe bwana maana yuko head over heels na kazimika haswa.Penzi jipya hilo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa tuko pamoja 💯Waefeso 5:22-33
22 Wake, watiini waume zenu kama mnavyomtii Bwana. 23 Kwa maana mume ni kichwa cha mke kama vile Kristo alivyo kichwa cha kanisa, ambalo ni mwili wake, naye mwe nyewe ni Mwokozi wa kanisa. 24 Basi, kama vile Kanisa linavyom tii Kristo, vivyo hivyo na wake pia wanapaswa kuwatii waume zao kwa kila jambo. 25 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo alivyolipenda kanisa akajitoa nafsi yake kwa ajili yake ili 26 alitakase. Alifanya hivyo kwa kuliosha kwa maji na kwa neno lake 27 ili ajipatie kanisa linalong’aa, lisilo na doa wala kunjamano wala kitu kingine cho chote kama hicho; liwe takatifu na bila kasoro. 28 Vivyo hivyo waume wawapende wake zao kama miili yao. Anayempenda mkewe anajipenda mwenyewe. 29 Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake mwenyewe, bali huulisha na kuutunza vizuri, kama Kristo anavyolitunza kanisa lake. 30 Sisi tu viungo vya mwili wake. 31 “Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataungana na mkewe, na hawa wawili wata kuwa mwili mmoja.” 32 Hili ni fumbo gumu kueleweka, nami nasema kuwa ni kielelezo kuhusu Kristo na kanisa. 33 Hata hivyo kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake; na mke naye ahakikishe anamheshimu mumewe. Watoto Na Wazazi
Wacha aolewe bwana maana yuko head over heels na kazimika haswaPenzi jipya hilo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😆😆😆😆😆Mwenyejii nimecheka had machozi, juzi tyuh kuna mtu aliniuliza "unataka nifanyeje kwako ili uwe na furaha na amani" nkamjibu "nipendee yaan nipende had nichanganyikiwe nihisi duniani tunaishi mie na wee tyuh"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nnMwewee
Tafuta mume uolewe wewe!Hello guys, bado tupo January, so Happy New Year!!
Ni muda sasa nimekua nikisoma na kusikia wakaka mnavyolaumu wanawake kukosa utii na heshima kwenye ndoa na mahusiano, kuwa jeuri sana na kuendekeza gubu.
Imefika mahali elimu na mafanikio ya mwanamke ndio vinaonekana kuwa chanzo cha matatizo haya, pamoja na mengine mengi.🙁
Binafsi sikubaliani nanyi hata kidogo.
Utii hauletwi na mtu kutokua "msomi"! Utii, kama vitu vingine vingi ambavyo hutolewa kwa hiari huwa havitolewi isipokua pale muhusika anapoonekana anastahili.
You can instill fear on a person, ukanunua nidhamu ya uongo, ngono, mapenzi ya kinafiki and so on...ila upendo, utii na kujaliwa ambako ni halisi (real/genuine) hutolewa kwa hiari, na hiari haishurutishwi hata siku moja. Si kwa mazingira (circumstances), uhitaji, pesa, hofu, wala nguvu ya mtu.
Tatizo linakuja pale mnapotaka kuchukua bila kutoa. Trust me, you can not take without giving!!
Wanaume nyie mnataka tuwapende, mnataka tuwajali (mbembelezwe na kupetiwa petiwa), tuwaheshimu, tuwatii, tuwasikilize, tuwa-appreciate etc. , ila nyie mnafanya juhudi gani kututengenezea mazingira/ kutuweka kwenye position ya kuwapa hayo yote na zaidi bila kujiona wajinga? Pengine tunafelishana in the sense that hamna anaetaka kuonekana mnyonge, nyie mnatuonyesha ubabe kwahiyo na sisi tunawaonyesha jeuri.
Hii pia inatokana na the fact that kuna baadhi wanakuwa na watu ambao sio sahihi kwao, either kwa tamaa, uzembe ama haraka ya kuingia kwenye mahusiano. Mtu wa hivi hata umbebe mgongoni, it will never change the fact that HAKUPENDI! Anaweza akawa anakuhitaji kwa sababu moja ama nyingine, but that's pretty much it.
Ukweli ni kwamba, ukiwa na mtu sahihi kwako na ukam-treat vizuri, she'll naturally become your peace...and vice versa!
Tukiacha kushindana, kila mmoja akaanza kumpa mwenzie kila anachoweza kumpa without conditions, judgement, or holding back, maisha yatakua rahisi sana.
Ila wee extro unaonekana bakhili sana, khaaahTatizo Upendo wetu mmeugeuza chanzo cha mapato. Ili uone umependwa hutaki kuoneshwa upendo pekeyake ule upendo wa lugha za mahaba na vizawadi eti ni hadi upewe hela ya kodi na takataka zingine ndio unaona unapendwa.
Ndo maana ake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ni hilo tu kwakweli!! [emoji6]
Hili ni tatizo kweli...Tatizo Upendo wetu mmeugeuza chanzo cha mapato. Ili uone umependwa hutaki kuoneshwa upendo pekeyake ule upendo wa lugha za mahaba na vizawadi eti ni hadi upewe hela ya kodi na takataka zingine ndio unaona unapendwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Without conditions, judgment or holding back...
Hii iko subjected na hela au ni kama ilivyo?[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Staki!!!
Kiunganishi tu sina maana nyingine zaidi.Samahani, niko out of topic, hii tabia ya nyie wadada kuita wanaume "rafiki" huwa mkituita hivyo mnamaanisha nini hasa? Like mnamaanisha rafiki kama kiunganishi tu cha maneno, au mnamaanisha kuwa hamuwezi mpa papuchi huyo mwanaume ndo maana mnamuita rafiki Kelsea Mzee wa kupambania
💐kaka mzuri umemtoa Jupiter au?
Hamna tajiri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nn
Punguza kucheka, weka mameno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]