Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Hujaona wengine wanatoa maokoto na bado wanawake wanawasumbua mkuu?Wanataka maokoto hawana lingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaona wengine wanatoa maokoto na bado wanawake wanawasumbua mkuu?Wanataka maokoto hawana lingine.
Hapa umeongea naamini ni kwa wale waliofunga ndoa halali. Vipi kwa wale ambao wako kwenye mahusiano kinyume na agizo la Mungu na wamedumu hivyo muda mrefu, Je Ni Mungu pia anaefanya hao wanaozini wadumu?Ni Mungu peke yake ndio anaweza kufanya mahusiano yakadumu na kuwa na amani,kinyume cha hapo ni ubatili...
Na ukiyajua hayo hutalalamikia utii Wala tabia mbaya ya mwanamke utaelewa vyema wewe sio chaguo lake unalazimishia uone mwanamke wa watu mbaya [emoji3][emoji3][emoji3]
Hii ni kwa wana ndoa tu,hao wengine sifahamu...Hapa umeongea naamini ni kwa wale waliofunga ndoa halali. Vipi kwa wale ambao wako kwenye mahusiano kinyume na agizo la Mungu na wamedumu hivyo muda mrefu, Je Ni Mungu pia anaefanya hao wanaozini wadumu?
Baada ya kusoma ujumbe wako nikajikuta tu nimeguna.Mbona umeguna mkuu?
Nshaona, lakini mwanamke hapendi na kutii sehemu isiyo na maokoto hasa wanawake wa mjini. Wanatafsili upendo wakweli ule unaombatana na maokoto na si upendo peke ake kama alivyosema mkuu Extrovert .Hujaona wengine wanatoa maokoto na bado wanawake wanawasumbua mkuu?
Ukubali utakujaCnaga sasa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa.Hii ni kwa wana ndoa tu,hao wengine sifahamu...
Na ni jukumu lako wewe kama mwanaume kutambua sababu ya utii wa mwanamke wako kwako. Kama sababu ni maokoto muache mapema maana siku ukiyakosa utautafuta utii wa mwanamke wako mpaka kwa viongozi wa dini na hutaupata.Nshaona, lakini mwanamke hapendi na kutii sehemu isiyo na maokoto hasa wanawake wa mjini. Wanatafsili upendo wakweli ule unaombatana na maokoto na si upendo peke ake kama alivyosema mkuu Extrovert .
🙋Na ni jukumu lako wewe kama mwanaume kutambua sababu ya utii wa mwanamke wako kwako. Kama sababu ni maokoto muache mapema maana siku ukiyakosa utautafuta utii wa mwanamke wako mpaka kwa viongozi wa dini na hutaupata.
Uamuzi ni wenu
Huu ni mwaka wa 10 tokea nimfahamu, tuliachana na sasa tumerudiana.Penzi jipya hilo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sahihi.Kwa lugha ingine hukuwahi kupenda before. Ila sasa ndio uko na mtu wampenda kwa dhati toka moyoni.
Love is a flower which turns into fruit at marriage, being married is the nicest thing to be. One advantage of marriage is that, when you fall out of love with him or he falls out of love with you, it keeps you together until you fall in again.Mi ni team Kataa ndoa 🥴
Ndio maana watu wenye busara na hekima wanashauri vijana waoe mapema kabla hawaja na uchumi imara, ili kuweza kubaini upendo na utii wakweli ambao hauna msukumo wa maokoto. Sema vijana tunakaza vichwa sana, tunaogopa ndoa tukiwa hatuna uhakika wa kula. Just imagine unapata mwanamke anaekutii na kukupenda ukiwa na uwezo wakumpatia mlo mmoja au miwili, unashindwa kutafuta shida zake za Muhimu lakini bado anaonyesha utii.Na ni jukumu lako wewe kama mwanaume kutambua sababu ya utii wa mwanamke wako kwako. Kama sababu ni maokoto muache mapema maana siku ukiyakosa utautafuta utii wa mwanamke wako mpaka kwa viongozi wa dini na hutaupata.
Uamuzi ni wenu
Mwenyewe nimenyooka hadi najishangaa 😂😂Hapa tuko pamoja 💯
The right man will lead & the right woman will follow. Kinyume na hapo lazima tuumizane vichwa tu.
Mfano wa Nifah na Kaka Mzuri ndio haswa nnachozungumzia. Amepata mtu sahihi kwahiyo hahitaji kulazimishwa wala kujilazimisha kumsikiliza, kumfuata wala kumtii.
Anayekupenda kweli kweli kabisa, atakulinda, atakutetea, atakupa uhuru, atakuonya na atakuficha Na hata kuomba fedha..maana wewe ni wa thamani kwake. Na hiyo ndio heshima... Sio kusikiwa tuu hata kusikia kwa watu wawili wanaopendana huo nao ni usikivuUmesema upande mmoja. Upande wa pili ni, Heshima ni tabia na malezi.
Uwezo wa kuonesha heshima ni busara. Na malezi ya watoto wengi ambao ndio wanawake wa sasa sehemu hii ilisahaulika sana.
Heshima ya kweli Iko ndani ya moyo wa mtu. Kinachoonekana kwa wengine ni treatment tuu inayojengwa juu ya heshima iliyoko ndani ya moyo wa mtu.
Kama.mtu hakulelewa kujiheshimu yeye mwenyewe, na wanaomzunguka, vumilia tuu Hilo ni zigo lako. Wanawake/Wanaume wote self-centered, wale wa take me as I am, hawawezi kamwe kuwa na heshima... Mnaweza mkaigiziana tuu kwa muda... Ila the truth is heshima ni zao la upendo genuine.
Na wengi Wala hatupendani kihiiivyo, tunacheza tuu character kwenye igizo la mahusiano.
Anayekupenda kweli kweli kabisa, atakulinda, atakutetea, atakupa uhuru, atakuonya na atakuficha..maana wewe ni wa thamani kwake. Na hiyo ndio heshima... Sio kusikiwa tuu hata kusikia kwa watu wawili wanaopendana huo nao ni usikivu.