Wanaume, acheni kulazimisha utiifu kutoka kwa wanawake!

Wanaume, acheni kulazimisha utiifu kutoka kwa wanawake!

Swali langu halikuhusu kuomba pesa kama sehemu ya mahusiano. Swali langu lilihusu mwanamke ambae yuko kwenye ndoa kuomba pesa kwa ajili ya matumizi yake ya msingi kama kununua nguo nk.
Mkuu, sikuusoma mjadala wenu hivyo nimejibu tu nilichoulizwa.

Turudi kwenye swali lako, mke wa ndoa hapaswi hata kuomba kwa maana mume anatakiwa kumtimizia mahitaji yake ya msingi.
Labda iwe dharura kaona nguo nzuri kaipenda, na ni haki yake wala sio suala la mjadala kabisa.
 
Katika mjadala ambao siupendi ndio hayo masuala ya kuombana pesa katika mahusiano, ni mambo ya kipumbavu sana.

Hakuna uhusiano wowote kati ya mapenzi ya kweli na pesa. Mwanamke hawezi kusema anampenda mwanaume kiukweli sababu ana pesa, ni uongo.
Na mwanaume hawezi kusema anapendwa kiukweli sababu ana pesa, ni uongo pia.

Ufike wakati tutenganishe haya masuala, wenye ajenda hizo wana maana nyingine tofauti mapenzi.
Mapenzi ya sasa bila pesa yanakua kama vita ya palestina na Israel, mtafanya nini tena baada ya kupenzika vichakani ? Kama pesa haina maana kwenye mapenz? Kila kitu kinachohusu mapenzi ni pesa mkuu.
 
Tupendeni mpaka tuchanganyikiwe muone maajabu!! 😉😁
Uko sahihi, na hii iko pande zote mbili

Waume wameambiwa wawapende wake zao na wake wawaheshimu waume zao

Mume akimpenda mke wake itakuwa rahisi kwa mke kumheshimu mume wake

Na nyinyi wake pia mkiwaheshimu waume zenu itakuwa rahisi kwa waume kuwapenda wake zao

Kwa hiyo kila mmoja kwenye ndoa akitimiza jukumu lake kwanza, upendo na heshima vitajitokeza kwenye ndoa
 
Samahani, niko out of topic, hii tabia ya nyie wadada kuita wanaume "rafiki" huwa mkituita hivyo mnamaanisha nini hasa? Like mnamaanisha rafiki kama kiunganishi tu cha maneno, au mnamaanisha kuwa hamuwezi mpa papuchi huyo mwanaume ndo maana mnamuita rafiki Kelsea Mzee wa kupambania
Hahaha wengine wanatumia kama defensive mechanism
 
Mapenzi ya sasa bila pesa yanakua kama vita ya palestina na Israel, mtafanya nini tena baada ya kupenzika vichakani ? Kama pesa haina maana kwenye mapenz? Kila kitu kinachohusu mapenzi ni pesa mkuu.
Kuna jamaa alikua analia huku anasema ananyiwa uchi kisa hana maokoto.

Out of topic.
 
Uko sahihi, na hii iko pande zote mbili

Waume wameambiwa wawapende wake zao na wake wawaheshimu waume zao

Mume akimpenda mke wake itakuwa rahisi kwa mke kumheshimu mume wake

Na nyinyi wake pia mkiwaheshimu waume zenu itakuwa rahisi kwa waume kuwapenda wake zao

Kwa hiyo kila mmoja kwenye ndoa akitimiza jukumu lake kwanza upendo na heshima vitajitokeza kwenye ndoa
Kwa mara ya kwanza nimesoma comment yako umetuliza akili sana.
 
Oa ujilie papuchi bure mpaka ucheue. Lakini ukila kisela na wewe pesa yako italiwa kisela. Katika football tunasema GG
Oa ujilie papuchi bure mpaka ucheue.
😃😃 utapangiwa ratiba ya kula_k utarudi apa na Uzi wa MKE WANGU ANANINYIMA UNYUMBA NI FANYAJE?? 🤣🤣
 
Hili ni tatizo kweli...

Lakini bado mi ntaendelea kusema kwamba ukiona umegeuzwa kitega uchumi na upendo unaopewa unategemeana na kiasi cha pesa unachompa mpenzi wako basi jua you are just a means to an end, not the end itself, kwasababu ndicho nnachoamini.
Mwanamke usipomhudumia hilo penzi litakufa dada udinganye watu
Haijalishi mwanamke anakupenda vipi usipomuhudumia practical hakuna upendo
 
Oa ujilie papuchi bure mpaka ucheue.
😃😃 utapangiwa ratiba ya kula_k utarudi apa na Uzi wa MKE WANGU ANANINYIMA UNYUMBA NI FANYAJE?? 🤣🤣
Speaking from experience, miaka 18 ya ndoa. Mwanamke ukijua kumhudumia na kumpenda, hawezi kupa unyumba kwa ratiba. Ukiona unapewa kwa ratiba kuna tatizo mahali, either ana ku cheat so hana hisia kwako tena au la haoni maajabu kwako.
 
Back
Top Bottom