Hizi mada muwe mnaziweka na qualification, caveat emptor, context kwamba mnajikita kuwaongelea wanaume wa aina gani, nuance.
Ili kuondoa muonekano kwamba mmelundika wanaume karibu wote kwenye kundi moja.
Kitu ambacho kinaweza kufuta points nyingi nzuri ulizotaka kuwakilisha, na kutengeneza a very unnecessary gender war.
Ukishaona kauli za jumla kama "wanaume ni..." au "wanawake ni..." apart from a very narrow set of statements that stays in the definition domain, most times unakuta kuna an absolutist, unfounded generalization.
Nikijiangalia mimi binafsi kama mwanamme naona umenionea sana kuniweka kundi moja na watu wengi unaowazungumzia hapo, kwa sababu siko hivyo.
But then again, I am not your regular Joe. I was top of my class everywhere I went, I was hanging out on the floor of The New York Stock Exchange at the beginn9ng of my career. I got cribs from Oysterbay, New York to Oysterbay Dar es salaam. Enough about me.
But, that's my point.
Be specific enough to exclude some of us enlightened gentlemen who are past this level of medieval mediocrity.
Else, we will start to think you are just being bitter against all men.
A few - or even many- misogynistic posts here do not represent all men, not even all Tanzanian born men.
I am proof of that. These people do not represent me.
I feel like being caught in an episode of that show called "I'm A Celebrity, Get Me Out of Here".
View attachment 2876561