Wanaume, acheni kulazimisha utiifu kutoka kwa wanawake!

Wanaume, acheni kulazimisha utiifu kutoka kwa wanawake!

Wanawake hawajawahi kuridhika. Watataka tena na tena.

Na bahati mbaya sana, maisha haya yanapanda na kushuka. On your downfall, wanawake wanakosa uvumilivu.

Sawa, we receive by giving, but what if kwa muda huo mambo doro? Should a woman stop being submissive just because I'm not kwa nafasi nzuri kwa wakati huo? Hayo ni mapenzi gani????
 
Sasa nimekuelewa, asante. They must know wahenga walisema "kitunze kidumu" watu wanataka kidumu bila kutunzwa.
Umeonaeee, halafu mimi ninavyojua au kujijua, kitu unachokipenda ukikihudumia hauwezi umia hata kidogo
tatizo linakuja kwenye hizi fake love, yaani ni mtiti kweli kweli ndo maana malalamiko hayaishi
 
Wanawake hawajawahi kuridhika. Watataka tena na tena.

Na bahati mbaya sana, maisha haya yanapanda na kushuka. On your downfall, wanawake wanakosa uvumilivu.

Sawa, we receive by giving, but what if kwa muda huo mambo doro? Should a woman stop being submissive just because I'm not kwa nafasi nzuri kwa wakati huo? Hayo ni mapenzi gani????
Ninavyojua wanawake, i mean yule aliyekupenda just unconditional, ukimpenda same utafurahia mema ya nchi
tatizo linakuja kwenye hizi fake love, watu kuigiza kumekuwa kwingi hata huwezi jua nani anaigiza na nani ni mkweli
tuendelee kuomba tu Mungu atusaidie
 
Uko sahihi, na hii iko pande zote mbili

Waume wameambiwa wawapende wake zao na wake wawaheshimu waume zao

Mume akimpenda mke wake itakuwa rahisi kwa mke kumheshimu mume wake

Na nyinyi wake pia mkiwaheshimu waume zenu itakuwa rahisi kwa waume kuwapenda wake zao

Kwa hiyo kila mmoja kwenye ndoa akitimiza jukumu lake kwanza upendo na heshima vitajitokeza kwenye ndoa
umeongea point kubwa sana, bila hivi tutaendelea kulalamika tu
 
Ninavyojua wanawake, i mean yule aliyekupenda just unconditional, ukimpenda same utafurahia mema ya nchi
tatizo linakuja kwenye hizi fake love, watu kuigiza kumekuwa kwingi hata huwezi jua nani anaigiza na nani ni mkweli
tuendelee kuomba tu Mungu atusaidie
Hao wanaopenda unconditional ndio hawapo. Hata hapa jf wanawake wanajikuta innocent and decent ila nyuma ya pazia ndio wale wale kausha damu ambao wapo after money, suala la mwanamke kuyaangalia mapenzi ukiwa na expectations za kupata hela kutoka kwa mwanaume kwa kusema kweli hapa ni wanawake wachache sana wataukwepa huu mtego, usidanganyike kabisa na sound za wanawake wa jf hawapo kama ambavyo wanajinasibu hapa.
 
Muumba alisema Wanaume (vichwa) wapendeni wake zenu na wanawake watiini waume zenu.Upendo wa kweli ukiwa nao kwa mkeo au mwenzi wako automatically atakutii bila shurti, wengi wanataka bila kuingia gharama ya kumpenda unconditionally hapo sasa ndo kunakuwa na mvutano na mind games nyingi.
 
Hello guys, bado tupo January, so Happy New Year!!

Ni muda sasa nimekua nikisoma na kusikia wakaka mnavyolaumu wanawake kukosa utii na heshima kwenye ndoa na mahusiano, kuwa jeuri sana na kuendekeza gubu.
Imefika mahali elimu na mafanikio ya mwanamke ndio vinaonekana kuwa chanzo cha matatizo haya, pamoja na mengine mengi.🙁

Binafsi sikubaliani nanyi hata kidogo.

Utii hauletwi na mtu kutokua "msomi"! Utii, kama vitu vingine vingi ambavyo hutolewa kwa hiari huwa havitolewi isipokua pale muhusika anapoonekana anastahili.

You can instill fear on a person, ukanunua nidhamu ya uongo, ngono, mapenzi ya kinafiki and so on...ila upendo, utii na kujaliwa ambako ni halisi (real/genuine) hutolewa kwa hiari, na hiari haishurutishwi hata siku moja. Si kwa mazingira (circumstances), uhitaji, pesa, hofu, wala nguvu ya mtu.

Tatizo linakuja pale mnapotaka kuchukua bila kutoa. Trust me, you can not take without giving!!

Wanaume nyie mnataka tuwapende, mnataka tuwajali (mbembelezwe na kupetiwa petiwa), tuwaheshimu, tuwatii, tuwasikilize, tuwa-appreciate etc. , ila nyie mnafanya juhudi gani kututengenezea mazingira/ kutuweka kwenye position ya kuwapa hayo yote na zaidi bila kujiona wajinga? Pengine tunafelishana in the sense that hamna anaetaka kuonekana mnyonge, nyie mnatuonyesha ubabe kwahiyo na sisi tunawaonyesha jeuri.

Hii pia inatokana na the fact that kuna baadhi wanakuwa na watu ambao sio sahihi kwao, either kwa tamaa, uzembe ama haraka ya kuingia kwenye mahusiano. Mtu wa hivi hata umbebe mgongoni, it will never change the fact that HAKUPENDI! Anaweza akawa anakuhitaji kwa sababu moja ama nyingine, but that's pretty much it.

Ukweli ni kwamba, ukiwa na mtu sahihi kwako na ukam-treat vizuri, she'll naturally become your peace...and vice versa!

Tukiacha kushindana, kila mmoja akaanza kumpa mwenzie kila anachoweza kumpa without conditions, judgement, or holding back, maisha yatakua rahisi sana.
Hizi mada muwe mnaziweka na qualification, caveat emptor, context kwamba mnajikita kuwaongelea wanaume wa aina gani, nuance.

Ili kuondoa muonekano kwamba mmelundika wanaume karibu wote kwenye kundi moja.

Kitu ambacho kinaweza kufuta points nyingi nzuri ulizotaka kuwakilisha, na kutengeneza a very unnecessary gender war.

Ukishaona kauli za jumla kama "wanaume ni..." au "wanawake ni..." apart from a very narrow set of statements that stays in the definition domain, most times unakuta kuna an absolutist, unfounded generalization.

Nikijiangalia mimi binafsi kama mwanamme naona umenionea sana kuniweka kundi moja na watu wengi unaowazungumzia hapo, kwa sababu siko hivyo.

But then again, I am not your regular Joe. I was top of my class everywhere I went, I was hanging out on the floor of The New York Stock Exchange at the beginning of my career. I got cribs from Oysterbay, New York to Oysterbay Dar es salaam. Enough about me.

But, that's my point.

Be specific enough to exclude some of us enlightened gentlemen who are past this level of medieval mediocrity.

Else, we will start to think you are just being bitter against all men.

A few - or even many- misogynistic posts here do not represent all men, not even all Tanzanian born men.

I am proof of that. These people do not represent me.

I feel like being caught in an episode of that show called "I'm A Celebrity, Get Me Out of Here".

I'm_a_Celebrity_-_Australian_version.jpg
 
Hizi mada muwe mnaziweka na qualification, caveat emptor, context kwamba mnajikita kuwaongelea wanaume wa aina gani, nuance.

Ili kuondoa muonekano kwamba mmelundika wanaume karibu wote kwenye kundi moja.

Kitu ambacho kinaweza kufuta points nyingi nzuri ulizotaka kuwakilisha, na kutengeneza a very unnecessary gender war.

Ukishaona kauli za jumla kama "wanaume ni..." au "wanawake ni..." apart from a very narrow set of statements that stays in the definition domain, most times unakuta kuna an absolutist, unfounded generalization.

Nikijiangalia mimi binafsi kama mwanamme naona umenionea sana kuniweka kundi moja na watu wengi unaowazungumzia hapo, kwa sababu siko hivyo.

But then again, I am not your regular Joe. I was top of my class everywhere I went, I was hanging out on the floor of The New York Stock Exchange at the beginn9ng of my career. I got cribs from Oysterbay, New York to Oysterbay Dar es salaam. Enough about me.

But, that's my point.

Be specific enough to exclude some of us enlightened gentlemen who are past this level of medieval mediocrity.

Else, we will start to think you are just being bitter against all men.

A few - or even many- misogynistic posts here do not represent all men, not even all Tanzanian born men.

I am proof of that. These people do not represent me.

I feel like being caught in an episode of that show called "I'm A Celebrity, Get Me Out of Here".

View attachment 2876561
But then again, I am not your regular Joe. I was top of my class everywhere I went, I was hanging out on the floor of The New York Stock Exchange at the beginn9ng of my career. I got cribs from Oysterbay, New York to Oysterbay Dar es salaam. Enough about me.

Hii panch ipo ki Hip Hop sana hara Rapper tokea kokote Duniani amaweza itumia
 
Back
Top Bottom