Wanaume, acheni kulazimisha utiifu kutoka kwa wanawake!

Hapa tuko pamoja 💯

The right man will lead & the right woman will follow. Kinyume na hapo lazima tuumizane vichwa tu.

Mfano wa Nifah na Kaka Mzuri ndio haswa nnachozungumzia. Amepata mtu sahihi kwahiyo hahitaji kulazimishwa wala kujilazimisha kumsikiliza, kumfuata wala kumtii.
 
😆😆😆😆😆

Ni hilo tu kwakweli!! 😉
 
Uniheshim au usiniheshimu wala sio tatizo as long u dont intefere my biznes n life

Shida kwang inakuja pale una vuka mipaka ,yan umeshindwa kukaa hukoo ma dharau zako ukaamua kuja kunishushia my personality mbele za watu.

Hapoo sikuachi hata iweje.
 
Tafuta mume uolewe wewe!
 
Tatizo Upendo wetu mmeugeuza chanzo cha mapato. Ili uone umependwa hutaki kuoneshwa upendo pekeyake ule upendo wa lugha za mahaba na vizawadi eti ni hadi upewe hela ya kodi na takataka zingine ndio unaona unapendwa.
Ila wee extro unaonekana bakhili sana, khaaah
Kila mahusiano au mapenzi lazima uongelee suala pesa.

Kwan ukimpa huyo dear ako hela unapungukiwa nn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo Upendo wetu mmeugeuza chanzo cha mapato. Ili uone umependwa hutaki kuoneshwa upendo pekeyake ule upendo wa lugha za mahaba na vizawadi eti ni hadi upewe hela ya kodi na takataka zingine ndio unaona unapendwa.
Hili ni tatizo kweli...

Lakini bado mi ntaendelea kusema kwamba ukiona umegeuzwa kitega uchumi na upendo unaopewa unategemeana na kiasi cha pesa unachompa mpenzi wako basi jua you are just a means to an end, not the end itself, kwasababu ndicho nnachoamini.
 
Kiunganishi tu sina maana nyingine zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…