Wanaume acheni kuwatumikisha wake zenu, waheshimuni

Mind ur own business mkuu,acha kufuatilia maisha ya wengine,unafuatilia mpaka maisha ya majirani zako wanaishije!!

Minding your own Business
Is a Full time Job
Stay Employed.
 
Wasichana wengi ambao sio waislamu hawajui kupika, hasa wenye kutoka familia zinazojiweza. na pia sio wasafi kulinganisha na wasichana wa kiislamu. utakuta kucha ndefu, kuvaa tight, wigi n.k

Oa mwanamke wa kiislamu hutajutia. wengi wanajua kupika, ni wasafi sana hasa ukipata anayesali ndio utafurahi mana ni msafi muda wote.
 
We bwege nini, kama nyinyi mnavoolewa ili mulelewe na kupewa hela za bure na sisi tunaoa ili tusaidiwe kufua na kupika.
 
Mie kumpikia, kumfulia na kumfanyia vitu vingine shemeji yenu najisikia raha sana! Na wala si kutumikishwa...! Siwezi kumuachia dada afanye vitu vinavyomuhusu mume wangu.
Kwahiyo kwako ni sawa tu ukitukanwa mbele za watu kisa umekosea kufua au kuosha vyombo!?.
 
Bado unafanya na mtu anapata ujasiri wa kukutukana tena hadharani.
 
JIOE dildo zipo bei chee
 
Wee umejuaje kama ni maisha yangu binafsi!?, Kwani mtu hawezi kuongea kutokana na anayoyaona kwenye jamii inayomzunguka!?.
Tatizo mmekariri mtu akileta mada basi inamuhusu Moja kwa moja , ondoa hizo fikra.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…