Wanaume acheni tabia za kutupiga makofi kwenye makalio wakati wa kufanya mapenzi

Si wengi wenu mnalipwa na kuhudumiwa , mmefanya mapenzi ni biashara mtafanywa chochote na mlipaji mteja ni mfalme. Communication is between lovers only,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mlongo unanivunja mbavu huku, uwiiiiiih
 
[emoji3][emoji3]
 
Lazima uumie mjukuu wangu,

Vikalio vyenyewe vya kichaga, si atachapa hadi mfupa, pole


Wanaume wanaangalia wenzao wakichapa wadada wale wenye mikalio mikubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie kwaninii lakinii??
 
Ahsanteeee Da maua, pita kwa Mangi chukua chochote, bill juu yangu. [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…