Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Wanaume badilikeni fanyeni maendeleo, umri haurudi nyuma!

Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.

N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
naona ushamchoka mbwa wako 😂 😂
Kuna kadada kaliachika fasta baada ya kutoa ushauri wa kujenga. kajitu hakachangii chochote kwenye pato la familia,ni mama wa nyumbani, hiyo nguvu ya kushauri/kulalamika unaitoa wapi
ukute hata hujui mumeo kipato chake kikoje, ni unaassume tu
in the first place ulikubalije kuolewa na mlevi
kama watoto wanasoma na mnakula vizuri ,shukuru Mungu
vinginevyo omba talaka uende kwa mbwa mwingine mwenye nafuu, utapata pressure bure na huyo mbwa wako wa sasa
 
naona ushamchoka mbwa wako 😂 😂
Kuna kadada kaliachika fasta baada ya kutoa ushauri wa kujenga. kajitu hakachangii chochote kwenye pato la familia,ni mama wa nyumbani, hiyo nguvu ya kushauri/kulalamika unaitoa wapi
ukute hata hujui mumeo kipato chake kikoje, ni unaassume tu
in the first place ulikubalije kuolewa na mlevi
kama watoto wanasoma na mnakula vizuri ,shukuru Mungu
vinginevyo omba talaka uende kwa mbwa mwingine mwenye nafuu, utapata pressure bure na huyo mbwa wako wa sasa
Hahaha
 
naona ushamchoka mbwa wako 😂 😂
Kuna kadada kaliachika fasta baada ya kutoa ushauri wa kujenga. kajitu hakachangii chochote kwenye pato la familia,ni mama wa nyumbani, hiyo nguvu ya kushauri/kulalamika unaitoa wapi
ukute hata hujui mumeo kipato chake kikoje, ni unaassume tu
in the first place ulikubalije kuolewa na mlevi
kama watoto wanasoma na mnakula vizuri ,shukuru Mungu
vinginevyo omba talaka uende kwa mbwa mwingine mwenye nafuu, utapata pressure bure na huyo mbwa wako wa sasa
Kwenye uchumba Kuna vitu vingi huwezi kuvijua unamuona kama anakunywa kawaida kumbe ni akiwa mbele yako! Baada ya kuoa Sasa anakunywa siku nyingine anatapika ! Yarabi yaani matapishi ya bia harufu yake basi tu ila nyie wanaume ni mbwa kweli! Pamoja na kwamba ni mbwa TALAKA ni no no!
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.

N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Mods futeni huu uzi please
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.

N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!

Aisee!! Kazi Ipo hapa kwamba unasema watoto anaokuzalisha wataenda wapi akifa? Wewe una uhakika gan kama yeye atatangulia kufa kabla?
 
Nimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.

Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!

Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.

N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Kwani ni lazima aanze kufa yeye unaweza pia kuanza kufa wewe
 
Kwa hivyo wewe una hati miliki ya uhai wa mume wako eti? Wewe unachangia nn kwa ajili ya future nzuri ya watoto wako ukiachana na kumtegemea mume wako 100%?
Kitu pekee cha uhakika duniani ni kifo na hatujui kitakuja lini. Hivi kwanini mkikumbushwa jukumu la msingi mnaanza kusema mchango wa anayekumbusha... Ndani ya miaka Saba watoto 3 ningechangia saa ngapi zaidi sijalala vizuri miaka yote hiyo bado unataka niwe nimechangia. Alivyooa house wife alitegemea nichangie Nini. Kama mnataka mchango oeni wafanyakazi wenzenu au toa mtaji! Mtaji hamtoi kazi kutudhihaki hatuna mchango! Nyau nyie
 
Kitu pekee cha uhakika duniani ni kifo na hatujui kitakuja lini. Hivi kwanini mkikumbushwa jukumu la msingi mnaanza kusema mchango wa anayekumbusha... Ndani ya miaka Saba watoto 3 ningechangia saa ngapi zaidi sijalala vizuri miaka yote hiyo bado unataka niwe nimechangia. Alivyooa house wife alitegemea nichangie Nini. Kama mnataka mchango oeni wafanyakazi wenzenu au toa mtaji! Mtaji hamtoi kazi kutudhihaki hatuna mchango! Nyau nyie

Kama unalijua hili kitu cha hakika duniani ni kifo. Na ni unpredictable hiyo kauli yako ilipaswa isiegemee upande wowote, pia excuse ya kusema umekosekana muda wa wewe kuchangia kwa ajili ya future ya watoto wako sabb ya uzazi bado hauleweki mbele ya umma. Bado hujamshawishi baba chanja wako aweze kuku lift kwa sabb keshajua wewe ni aina gani ya mwanamke huu ndio ukweli mchungu jitathimini vizuri.
 
Kama unalijua hili kitu cha hakika duniani ni kifo. Na ni unpredictable hiyo kauli yako ilipaswa isiegemee upande wowote, pia excuse ya kusema umekosekana muda wa wewe kuchangia kwa ajili ya future ya watoto wako sabb ya uzazi bado hauleweki mbele ya umma. Bado hujamshawishi baba chanja wako aweze kuku lift kwa sabb keshajua wewe ni aina gani ya mwanamke huu ndio ukweli mchungu jitathimini vizuri.
Kwa hiyo nijenge Mimi basi anunue hata plot. Kuleni bia vizuri uzeee huo hapo hata hizo kodi mtashindwa kulipa
 
Kwa hiyo nijenge Mimi basi anunue hata plot. Kuleni bia vizuri uzeee huo hapo hata hizo kodi mtashindwa kulipa

Acha tule monde si tunazitafuta wenyewe kwa jasho. Imagine jaribu kuvaa viatu vya mumeo yani mke gubu mtindo mmoja, kauli nzuri hamna, kupenda mashindano ya maisha na wengine ndio moto hapo hapo mtaji ni watoto na kitanzi cha ndoa unafanyaje? Jitafakari kuna mahali unakosea usilete ubishi ni ngumu ku serve golikipa kwa maisha ya sasa in a long run itakuwa ni usumbufu tu..
 
Back
Top Bottom