Magdalene_joseph
JF-Expert Member
- Jun 26, 2023
- 231
- 617
- Thread starter
- #501
Asante Kwa ushauriPole sana msaidie mawazo badala ya kumsama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Kwa ushauriPole sana msaidie mawazo badala ya kumsama
🤣🤣🤣🤣🤣PointBadala ya ku deal na zuzu lako, umekuja kutushambulia jf. Unatujua sisi ni akina Nani? Una uhakika sisi ni wapumbavu Kama mumeo? Acha kutujumuisha
[emoji23][emoji23][emoji23]Wapo wanaofanya na still wanapasua! Sema tu wewe mwenyewe ni kiazi mbatata
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mwambie huyo wako asiye jitambuaNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Wewe ni bure kabisa. Na moderators nao ...au basi! Nimepigwa ban baada ya kumuuliza aliyenikejeli kazi yangu kupanua K na kuzaa! Swali langu lilikua simpo mama yake alipanua nini akazaliwa yeye? Haya ripoti hii nifungiwe tenaAmekula BAN saaaafi kabisa
Pole aiseeeNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Kaa kwako na acha tamaa,maisha hayafanani na watu hawafanani,shaulianeniNaijua ndio ila PCB haikutaka ujinga niliokua nafanya plus hela za hapa na pale. All in all ananipenda kosa lake ni hilo la matumizi ya pesa bila mpangilio
Too much controlling, ushauri mzuri lakini vingine unazidisha haviwezi kufanyika kwa kila mtu,mfano unamshauri kusali na kutoa sadaka,kwanini usiishie hapo lakini unamwambia atoe kanisani tu why,si tumpe nafasi Roho mtakatifu atuongoze cha kufanya.Naona wote mmeshauri wengne mmeshushua..sio kesi.
Mleta mada unaweza ukajaribu kufanya haya. Najua mi ni junior kwako, na naweza nisiwe nayajua mengi, lakin kwa machache ninayoyafahamu..naona umeingia kwenye line isiyo ya kwako, na shetani anazidi kukutoa kwenye reli. Usitoke!!
Its time to work on yourself. Anza na toba. Toba huwa inarestore broken pieces haraka sana. Tengeneza mahusiano yako na Bwana. Then samehe. Mtangazie mume wako msamaha kutoka moyoni, usimuonee uchungu. Then after this, moyo ukiwa mweupe pee, anza sasa kujifanyia kazi. Jichunguze, jifanyie deep analysis, kuna sehemu gani ulikwama.wewe kama mama, mwanamke, mke?? Je ni attitude, mtazamo, fikra, usemi, nafsi, muonekano, matendo au ni nini?? Are you sure uko salama kote huko? Then its time, kujichukulia hatua. Anza kujiboresha wewe kwanza. Achana na kumwangalia huyo mwenza wako kama he is all. Well he is not.
Ndio ulikuwa mke, na umemzalia watatu, bibi yangu alimzalia babu mtu nane, na bado akaletewa pisi ingine, sikucheki, nakuambia ubadilishe mtazamo. Anza kuwa responsible for your own shits. Well dunia haina muda wa kumuonea mtu huruma. Get tough, ongeza value my dear dada. Ongeza thamani yako.
Amka mapema, anza siku na Bwana kila siku, funga kwa wiki mara tatu, anza kutoa sadaka kwa wahitaji..zisiwe kanisani tu, anza kutafuta njia za kujipatia kipato cha HALALI. Aim kuwafanya better watoto wako kila siku. Umiza akili, tafakari miradi ya kufanya kama familia, iandike, kama hupendi exercise, jaribu kufanya hata mara tatu kwa wiki, siku isiishe hujatembea hata lisaa limoja, toka nje, explore opportunities, yani hangaisha akili kiasi kwamba huyo kaka mkubwa aone huhangaiki nae tena, mwenyewe atajirudi (kama ana conscience anyways).
Unapoanza kuwa busy na maisha yako na ya watoto na ukamdismind mtu, kuna namna huwa wanajirudigi. Na wanatulia. Lakini hii ya kukasirika kila siku ni maattitude, ndo wanapata vichwa. Sijasema umdharau. Sijasema umuonyeshe kiburi. Mungu hatakutengenezea njia sasa. Just be the woman he wishes to never lose. Anyways maybe naandika theoritically sana. All the best.
Aisee hii komenti imenichekesha sana nimetokwa machozi. Hii tanzania ina watu aisee. DaaaBadala ya ku deal na zuzu lako, umekuja kutushambulia jf. Unatujua sisi ni akina Nani? Una uhakika sisi ni wapumbavu Kama mumeo? Acha kutujumuisha
""Mimi ni bure kabisa"" una maana gani hii kauliWewe ni bure kabisa. Na moderators nao ...au basi! Nimepigwa ban baada ya kumuuliza aliyenikejeli kazi yangu kupanua K na kuzaa! Swali langu lilikua simpo mama yake alipanua nini akazaliwa yeye? Haya ripoti hii nifungiwe tena
pole magdalena..... jina zuri takatifu unaenda kwa mlefiii...poleNimeolewa mwaka wa Saba mwanaume hakuna maendeleo na pesa anapata zinapoenda anajua mwenyewe. Akinunua vitu vya ndani anajiona kafika.
Kazi kulalamika apelekewe maji bafuni kwenye ndoo badali ajenge maji yatiririke kutoka juu au aoge amelala!
Kutwa pombe na mahawara. Hawa watoto anaonizalisha wataenda wapi akifa. Vitambi na kulipa kodi sio maendeleo.
N.b: Nimedit. Ila wenye hivyo vitabia acheni mpo humo humo msinitolee mapovu! Unaoa mwembamba kama fimbo halafu mnakuja kurelax na kusahau ahadi zote!
Sio nyumba ya watoto... nyumba ya familia. Moyo mwagilieni vizuri ila kumbukeni uzee unakuja fikiria umezeeka huna nyumbaKila mtoto atatufuta vya kwake ,maendeleo ya nn Sasa kama unakula na kuvaa inatosha hayo!! Mambo ya kusema sijui kuwajengea nyumba watoto ni Upumbavu kwani Mimi baba yangu alinijengea nyumba?? Yani mtu ashindwe kimwagili Moyo na kula minyamaaa aanze kufikiria kufikia Hela kwenye nyumba, Hakuna kuwajengea watoto labda kama wewe baba Yako alikujengea na wewe unawajengea watoto
Unashangilia nilivyofungiwa inahuu""Mimi ni bure kabisa"" una maana gani hii kauli
HPana sijashangilia walaUnashangilia nilivyofungiwa inahuu
HPana sijashangilia walaUnashangilia nilivyofungiwa inahuu