Wanaume ehh! Hivi Huwa mnazingatia/mlizingatia nini zaidi ili kumpenda Mdada/Mwanamke?

Wanaume ehh! Hivi Huwa mnazingatia/mlizingatia nini zaidi ili kumpenda Mdada/Mwanamke?

zagarinojo

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2020
Posts
2,622
Reaction score
2,846
Aisee wanaume najua wengine hapa mpo kwenye mahusiano na wengine ndo bado wanatarajia kuoa.

Huwa vijana wana shauku sana pindi wanapotaka kuoa na huwa na mapendekezo mbalimbali juu ya wanawake watakao taka kuwaoa/kuwa nao kwenye mahusiano.

Na ule usemo wa mwanamke sio sura ni tabia haujawahi waacha salama wengi hawakubaliani nao kabisa. Ila kuna mambo mbali mbali ambayo wanaume huzingatia. Wengine huzingatia uzuri wa sura au shape...

Wengine huenda mbali zaidi na kutaka wanawake wataokuwa nao kwenye ndoa/mahusiano wawe na kiwango fulani cha elimu utaskia "Mi sioi demu wa elimu ya form 4"

Wapo ambao hadi makabila wanazingatia eti akiwa mzigua basi lazima mwanamke naye awe mzigua.

Na wale ambao wanazingatia umri eti mwanamke akiwa anamzidi umri hawezi kuwa nae.

Wengine ndo wanakwambia akiwa mcha Mungu na mwenye tabia njema. Inatosha.

Ila kwa mfano Mimi ntazingatia mrembo na mzuri yaani nioe mtu anafanana na Ebitoke hata Kama anatabia nzuri duh!
 
Inategemeana

Kila demu ana vigezo vyake kulingana na aina ya mahusiano ambayo umeya-target

Mfano vigezo vya mwanamke wa kuoa ni tofauti na mwanamke wa kudate naye

Sio kila demu ambaye ume-date naye vizuri basi ukajua atakua anasifa ya kuwa mke au ukahisi atakua hivyo hivyo na life mta enjoy kwenye maisha ya ndoa kama ambavyo amekua aki-behave kwenye kipindi cha dating
 
Inategemeana

Kila demu ana vigezo vyake kulingana na aina ya mahusiano ambayo umeya-target

Mfano vigezo vya mwanamke wa kuoa ni tofauti na mwanamke wa kudate naye

Sio kila demu ambaye ume-date naye vizuri basi ukajua atakua anasifa ya kuwa mke au ukahisi atakua hivyo hivyo na life mta enjoy kwenye maisha ya ndoa kama ambavyo amekua aki-behave kwenye kipindi cha dating
Absolutely true
 
Mimi niliangalia....
1. Akili ya mke wangu anaweza kufanya rational judgement/decision
2. Tako laini lisiwe kubwa sana au dogo maana sipendi tako kubwa halafu gumu kama bumunda
3. curvy mwili wastani na hana dalili ya kufutuka
4. msafi kiujumla
5. nikiongozananae niko comfortable
 
Dem wa hit & run :- sura nzura, tako lipo, kiuno kipo, chuchu 12:00am, sauti ya chumban ipo, guu lipo.

Mke wa kuoa:- Nidham, hekima, busara, Unyenyekevu, sura ya kawaida tu, Mcha Mungu, wakuvumilika
 
Dem wa hit & run :- sura nzura, tako lipo, kiuno kipo, chuchu 12:00am, sauti ya chumban ipo, guu lipo.

Mke wa kuoa:- Nidham, hekima, busara, Unyenyekevu, sura ya kawaida tu, Mcha Mungu, wakuvumilika
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom