Wanaume ehh! Hivi Huwa mnazingatia/mlizingatia nini zaidi ili kumpenda Mdada/Mwanamke?

Wanaume ehh! Hivi Huwa mnazingatia/mlizingatia nini zaidi ili kumpenda Mdada/Mwanamke?

Binafsi nazingatia vitu vikuu viwili Muungwana wala sinaga mambo mengi.Kwanza kabisa mwanamke ANIPENDE kwa dhati...mwanadada akikupenda raha sana aisee[emoji108][emoji108]. Pili lazima awe na CHURA baaaaasss.Vingine tutavumiliana..[emoji1][emoji1].
 
Akili na kujiamini ni chaguo la kwanza kabisa, black ananisisimua, umbile ndio linanidatisha hasa lililogawanyika vizuri sehemu ya miguu, TerCore, tumbo na kifua.

Mengine yanaongezewa Kwa Bed.
 
1. Smart Brains - Street Smart n Full of Wisdom

2. Good on Bed - Clean, Creative n Compactible
 
aseee manzi kama hajapitia maisha ya CHANDs...aah bado hajanishawishi kumuoaaa...labda mech za ugenini[emoji38] (jokes)


ila msichana mwenye hofu ya mungu ndio bora sana kwangu
 
Aisee wanaume najua wengine hapa mpo kwenye mahusiano na wengine ndo bado wanatarajia kuoa.

Huwa vijana wana shauku sana pindi wanapotaka kuoa na huwa na mapendekezo mbalimbali juu ya wanawake watakao taka kuwaoa/kuwa nao kwenye mahusiano.

Na ule usemo wa mwanamke sio sura ni tabia haujawahi waacha salama wengi hawakubaliani nao kabisa. Ila kuna mambo mbali mbali ambayo wanaume huzingatia. Wengine huzingatia uzuri wa sura au shape...

Wengine huenda mbali zaidi na kutaka wanawake wataokuwa nao kwenye ndoa/mahusiano wawe na kiwango fulani cha elimu utaskia "Mi sioi demu wa elimu ya form 4"

Wapo ambao hadi makabila wanazingatia eti akiwa mzigua basi lazima mwanamke naye awe mzigua

Na wale ambao wanazingatia umri eti mwanamke akiwa anamzidi umri hawezi kuwa nae

Wengine ndo wanakwambia akiwa mcha Mungu na mwenye tabia njema. Inatosha..

Ila kwa mfano Mimi ntazingatia mrembo na mzuri yaani nioe mtu anafanana na Ebitoke hata Kama anatabia nzuri duh!
Ukweli ni kwamba kila mwanaume duniani anahitaji mwanamke ambaye anajiheshimu kwanza mbele za watu , pili mwenye kutoa maamuzi ya kimaisha namaanisha sio la sio wale wa kununa kila siku anaytaka umletee vitu brand na huku huna kitu cha tatu mwanamke anayeweza kutunza familia amabaye hata katika mahusiano anaonyehsa kwamba huyu hata nikiwa naumwa anaweza kusimama kama mama na nyumba ikaheshimika na kusimama...hayo mengine ni maneno ya mdomoni tuu ila ukweli ndio huo na ndio maana utakuat wale wazuri na majigambo ya utoto wa mjini inakuwa ngumu sana mwanaume kumuweka ndani maana anajua ndivo utakavo kuwa .
 
Sisi wengine bora awe na kishimo...
Aisee wanaume najua wengine hapa mpo kwenye mahusiano na wengine ndo bado wanatarajia kuoa.

Huwa vijana wana shauku sana pindi wanapotaka kuoa na huwa na mapendekezo mbalimbali juu ya wanawake watakao taka kuwaoa/kuwa nao kwenye mahusiano.

Na ule usemo wa mwanamke sio sura ni tabia haujawahi waacha salama wengi hawakubaliani nao kabisa. Ila kuna mambo mbali mbali ambayo wanaume huzingatia. Wengine huzingatia uzuri wa sura au shape...

Wengine huenda mbali zaidi na kutaka wanawake wataokuwa nao kwenye ndoa/mahusiano wawe na kiwango fulani cha elimu utaskia "Mi sioi demu wa elimu ya form 4"

Wapo ambao hadi makabila wanazingatia eti akiwa mzigua basi lazima mwanamke naye awe mzigua

Na wale ambao wanazingatia umri eti mwanamke akiwa anamzidi umri hawezi kuwa nae

Wengine ndo wanakwambia akiwa mcha Mungu na mwenye tabia njema. Inatosha..

Ila kwa mfano Mimi ntazingatia mrembo na mzuri yaani nioe mtu anafanana na Ebitoke hata Kama anatabia nzuri duh!
 
Inategemeana

Kila demu ana vigezo vyake kulingana na aina ya mahusiano ambayo umeya-target

Mfano vigezo vya mwanamke wa kuoa ni tofauti na mwanamke wa kudate naye

Sio kila demu ambaye ume-date naye vizuri basi ukajua atakua anasifa ya kuwa mke au ukahisi atakua hivyo hivyo na life mta enjoy kwenye maisha ya ndoa kama ambavyo amekua aki-behave kwenye kipindi cha dating
Naomba vigezo vya mwanamke wa kuoa mkuu
 
Ngoja kwanza.....waiter ...... nimesema safari we umeniletea balimi na sijasema ya moto nimesema yabaridi.... staki glass[emoji57][emoji57]......tuko pamoja mtoa uzi...
 
[emoji848][emoji848]
Kigezo changu ni kidogo
Mwanamke awe ananipenda na mimi nimpende.

Mapenzi hayajawahi kumuacha mtu salama naogopa kumpenda mtu Kupita kiasi kwasababu maumivu yake ni makubwa tukiachana

Ila wakati mwingine hakuna namna penzi halichagui
Ndoa itatunzwa na wanandoa na ndoa itaharibiwa na wanandoa
 
Back
Top Bottom