Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Miaka 24 tangu nije TzKumbe bado hujaoa??.Una miaka mingapi kwani??.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 24 tangu nije TzKumbe bado hujaoa??.Una miaka mingapi kwani??.
😅😅😅My wangu huko ulipo naomba uwe na kitobo
Wale mnaosema taccle je mtakula hayo matako?
Mbona wacheka tena[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23]Mimi awe mtamuu tu basiii
Sent using mt4 app
nimefurah tu .Mbona wacheka tena
. Tafta mmoja mwnye chura utakuja kunishukuru 😀😀Bila shaka mtakula hayo matako siku ukifulia
Ukweli ni kwamba kila mwanaume duniani anahitaji mwanamke ambaye anajiheshimu kwanza mbele za watu , pili mwenye kutoa maamuzi ya kimaisha namaanisha sio la sio wale wa kununa kila siku anaytaka umletee vitu brand na huku huna kitu cha tatu mwanamke anayeweza kutunza familia amabaye hata katika mahusiano anaonyehsa kwamba huyu hata nikiwa naumwa anaweza kusimama kama mama na nyumba ikaheshimika na kusimama...hayo mengine ni maneno ya mdomoni tuu ila ukweli ndio huo na ndio maana utakuat wale wazuri na majigambo ya utoto wa mjini inakuwa ngumu sana mwanaume kumuweka ndani maana anajua ndivo utakavo kuwa .Aisee wanaume najua wengine hapa mpo kwenye mahusiano na wengine ndo bado wanatarajia kuoa.
Huwa vijana wana shauku sana pindi wanapotaka kuoa na huwa na mapendekezo mbalimbali juu ya wanawake watakao taka kuwaoa/kuwa nao kwenye mahusiano.
Na ule usemo wa mwanamke sio sura ni tabia haujawahi waacha salama wengi hawakubaliani nao kabisa. Ila kuna mambo mbali mbali ambayo wanaume huzingatia. Wengine huzingatia uzuri wa sura au shape...
Wengine huenda mbali zaidi na kutaka wanawake wataokuwa nao kwenye ndoa/mahusiano wawe na kiwango fulani cha elimu utaskia "Mi sioi demu wa elimu ya form 4"
Wapo ambao hadi makabila wanazingatia eti akiwa mzigua basi lazima mwanamke naye awe mzigua
Na wale ambao wanazingatia umri eti mwanamke akiwa anamzidi umri hawezi kuwa nae
Wengine ndo wanakwambia akiwa mcha Mungu na mwenye tabia njema. Inatosha..
Ila kwa mfano Mimi ntazingatia mrembo na mzuri yaani nioe mtu anafanana na Ebitoke hata Kama anatabia nzuri duh!
Aisee wanaume najua wengine hapa mpo kwenye mahusiano na wengine ndo bado wanatarajia kuoa.
Huwa vijana wana shauku sana pindi wanapotaka kuoa na huwa na mapendekezo mbalimbali juu ya wanawake watakao taka kuwaoa/kuwa nao kwenye mahusiano.
Na ule usemo wa mwanamke sio sura ni tabia haujawahi waacha salama wengi hawakubaliani nao kabisa. Ila kuna mambo mbali mbali ambayo wanaume huzingatia. Wengine huzingatia uzuri wa sura au shape...
Wengine huenda mbali zaidi na kutaka wanawake wataokuwa nao kwenye ndoa/mahusiano wawe na kiwango fulani cha elimu utaskia "Mi sioi demu wa elimu ya form 4"
Wapo ambao hadi makabila wanazingatia eti akiwa mzigua basi lazima mwanamke naye awe mzigua
Na wale ambao wanazingatia umri eti mwanamke akiwa anamzidi umri hawezi kuwa nae
Wengine ndo wanakwambia akiwa mcha Mungu na mwenye tabia njema. Inatosha..
Ila kwa mfano Mimi ntazingatia mrembo na mzuri yaani nioe mtu anafanana na Ebitoke hata Kama anatabia nzuri duh!
Naomba vigezo vya mwanamke wa kuoa mkuuInategemeana
Kila demu ana vigezo vyake kulingana na aina ya mahusiano ambayo umeya-target
Mfano vigezo vya mwanamke wa kuoa ni tofauti na mwanamke wa kudate naye
Sio kila demu ambaye ume-date naye vizuri basi ukajua atakua anasifa ya kuwa mke au ukahisi atakua hivyo hivyo na life mta enjoy kwenye maisha ya ndoa kama ambavyo amekua aki-behave kwenye kipindi cha dating
[emoji23][emoji23]Naomba vigezo vya mwanamke wa kuoa mkuu
Uje nitakwambia japo kigezo namba moja lazima awe na upeo mkubwa wa maisha.Naomba vigezo vya mwanamke wa kuoa mkuu
Upeo mkubwa kivipi[emoji848]Uje nitakwambia japo kigezo namba moja lazima awe na upeo mkubwa wa maisha.
[emoji848][emoji848][emoji23][emoji23]
Kigezo changu ni kidogo[emoji848][emoji848]