Wanaume ehh! Hivi Huwa mnazingatia/mlizingatia nini zaidi ili kumpenda Mdada/Mwanamke?

Wanaume ehh! Hivi Huwa mnazingatia/mlizingatia nini zaidi ili kumpenda Mdada/Mwanamke?

Mke ni yule mwanamke ambae moyo wako umeridhika nae kwa [emoji817]% . Na huwa anakuja sehemu usiyotarajia kabisa...na ikiwezekana unakuwa huna mawazo ya mwanamke wakati huo!

Ukileta vigezo vyako lazima vikinzane na vigezo vingine vya nature!

Anyway kila la kheri!
 
Sasa Ebitoke...Ni mbaya?...mbona mnashida nyie ...yule Ana ubaya gani?
 
Aisee wanaume najua wengine hapa mpo kwenye mahusiano na wengine ndo bado wanatarajia kuoa.

Huwa vijana wana shauku sana pindi wanapotaka kuoa na huwa na mapendekezo mbalimbali juu ya wanawake watakao taka kuwaoa/kuwa nao kwenye mahusiano.

Na ule usemo wa mwanamke sio sura ni tabia haujawahi waacha salama wengi hawakubaliani nao kabisa.

Ila kuna mambo mbali mbali ambayo wanaume huzingatia
Wengine huzingatia uzuri wa sura au shape...

Wengine huenda mbali zaidi na kutaka wanawake wataokuwa nao kwenye ndoa/mahusiano wawe na kiwango fulani cha elimu utaskia "Mi sioi demu wa elimu ya form 4"

Wapo ambao hadi makabila wanazingatia eti akiwa mzigua basi lazima mwanamke naye awe mzigua

Na wale ambao wanazingatia umri eti mwanamke akiwa anamzidi umri hawezi kuwa nae

Wengine ndo wanakwambia akiwa mcha Mungu na mwenye tabia njema. Inatosha..

Ila kwa mfano Mimi ntazingatia mrembo na mzuri yaani nioe mtu anafanana na Ebitoke hata Kama anatabia nzuri duh!
Kumbe ebotoke mbaya,


Kigezo cha umri NI muhimu sana mwanamke unatakiwa umpite hata miaka 10 kwa sababu mkija kuzeeka mwanamke atawai kuzeeka kabla yako hii itasabisha ww na ezee wako uwanze kutafuta pa kuponea maana mwanamke akizeeka hawezi tena kutumika,ndio maana mnashauliwa kuowa wanawake waliwazidi umri
 
Mi huwa naangalia chura, chura, chura chura churaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
My wangu huko ulipo naomba uwe na kitobo
Wale mnaosema taccle je mtakula hayo matako?
 
Mi huwa naangalia chura, chura, chura chura churaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Bila shaka mtakula hayo matako siku ukifulia
 
Mpende mwanamke kwa ujumla wake na wala si kkwa sifa moja moja.
Ukimpenda kwa sifa moja basi uda si mrefu atatokea wa kumzidi.
Ukimpenda kwa ujumla wake ni vigumu sana kutokea mwanamke mwingine mwenye
sifa za huo ujumla maana huyo mwanamke mwingine anaweza kumzidi mpenzi wako kwa
sifa moja ila akashindwa kwenye sifa nyingine.
 
Mpende mwanamke kwa ujumla wake na wala si kkwa sifa moja moja.
Ukimpenda kwa sifa moja basi uda si mrefu atatokea wa kumzidi.
Ukimpenda kwa ujumla wake ni vigumu sana kutokea mwanamke mwingine mwenye
sifa za huo ujumla maana huyo mwanamke mwingine anaweza kumzidi mpenzi wako kwa
sifa moja ila akashindwa kwenye sifa nyingine.
Hata Kama utampenda kwa ujumla kipo ambacho kitakuwa kinakuvutia zaidi
 
Upendo wa kweli hauna sababu bali hutokana na natural desire ila ule upendo wa matamanio ndo watu huweka vigezo kama chura, fiqure, sura na nk... huu upendo mara nyingi hudum kwa muda mfupi na upendo special kwa kustarehe pekee
 
upendo wa kweli hauna sababu bali hutokana na natural desire ila ule upendo wa matamanio ndo watu huweka vigezo kama chura, fiqure, sura na nk... huu upendo mara nyingi hudum kwa muda mfupi na upendo special kwa kustarehe pekee
Unadhani now days kuna upendo wa kweli

Lakini unahisi unaweza penda Kabla ya kutamani
 
Mimi niliangalia....
1. Akili ya mke wangu anaweza kufanya rational judgement/decision
2. Tako laini lisiwe kubwa sana au dogo maana sipendi tako kubwa halafu gumu kama bumunda
3. curvy mwili wastani na hana dalili ya kufutuka
4. msafi kiujumla
5. nikiongozananae niko comfortable

Niliangalia akili, na mwili kidoogo!
 
Kama ana K bc me naoa.

Kama ana sura mzuri bc me naoa, sitaki mwnye sura ngumu mana ntashindwa kumvutia hisia.

Kama ana tako la kuombea mkopo bank ntaoa.

Kama ni mweusi ntaoa.
Kumbe bado hujaoa??.Una miaka mingapi kwani??.
 
Mimi niliangalia....
1. Akili ya mke wangu anaweza kufanya rational judgement/decision
2. Tako laini lisiwe kubwa sana au dogo maana sipendi tako kubwa halafu gumu kama bumunda
3. curvy mwili wastani na hana dalili ya kufutuka
4. msafi kiujumla
5. nikiongozananae niko comfortable
Huyo anafanana na mke wangu.
 
Back
Top Bottom