Wanaume ehh! Hivi Huwa mnazingatia/mlizingatia nini zaidi ili kumpenda Mdada/Mwanamke?

Wanaume ehh! Hivi Huwa mnazingatia/mlizingatia nini zaidi ili kumpenda Mdada/Mwanamke?

Upeo mkubwa kivipi[emoji848]
Upeo wa mlubwa uko hivi;
1. Sio mfujaji wa pesa.
Mfano mnachagua location kwamba mtoke kwenda wapi....mjinga kila aiku atataka mwende hotel ya nyota 4 na 5 mkatumie zaidi, lakini mwenye upeo mkubwa atataka mwende maeneo yasiyo ghali kila mara ili maevu peaa kwa ajili ya maendeleo ma future yenu.

2. Anayeweza kuelewa kuwa nyakati hazifanani kuwa kuna wakati unakwama.

3. Atata akufanye mwenye furaha kila wakati, pamoja na yeye kutaka umfanye mwenye furaha lakini pia nawe pia

4. Anayejitunza na kuridhika na mahusiano yenu
 
Ngoja kwanza.....waiter ...... nimesema safari we umeniletea balimi na sijasema ya moto nimesema yabaridi.... staki glass[emoji57][emoji57]......tuko pamoja mtoa uzi...
Sijaelewa mkuu lugha ya kificho hiyo
 
Upeo wa mlubwa uko hivi;
1. Sio mfujaji wa pesa.
Mfano mnachagua location kwamba mtoke kwenda wapi....mjinga kila aiku atataka mwende hotel ya nyota 4 na 5 mkatumie zaidi, lakini mwenye upeo mkubwa atataka mwende maeneo yasiyo ghali kila mara ili maevu peaa kwa ajili ya maendeleo ma future yenu.

2. Anayeweza kuelewa kuwa nyakati hazifanani kuwa kuna wakati unakwama.

3. Atata akufanye mwenye furaha kila wakati, pamoja na yeye kutaka umfanye mwenye furaha lakini pia nawe pia

4. Anayejitunza na kuridhika na mahusiano yenu
Sawa hapo nimekuelewa ii ilikuwa no moja km sikosei[emoji848]
 
Aisee wanaume najua wengine hapa mpo kwenye mahusiano na wengine ndo bado wanatarajia kuoa.

Huwa vijana wana shauku sana pindi wanapotaka kuoa na huwa na mapendekezo mbalimbali juu ya wanawake watakao taka kuwaoa/kuwa nao kwenye mahusiano.

Na ule usemo wa mwanamke sio sura ni tabia haujawahi waacha salama wengi hawakubaliani nao kabisa. Ila kuna mambo mbali mbali ambayo wanaume huzingatia. Wengine huzingatia uzuri wa sura au shape...

Wengine huenda mbali zaidi na kutaka wanawake wataokuwa nao kwenye ndoa/mahusiano wawe na kiwango fulani cha elimu utaskia "Mi sioi demu wa elimu ya form 4"

Wapo ambao hadi makabila wanazingatia eti akiwa mzigua basi lazima mwanamke naye awe mzigua

Na wale ambao wanazingatia umri eti mwanamke akiwa anamzidi umri hawezi kuwa nae

Wengine ndo wanakwambia akiwa mcha Mungu na mwenye tabia njema. Inatosha..

Ila kwa mfano Mimi ntazingatia mrembo na mzuri yaani nioe mtu anafanana na Ebitoke hata Kama anatabia nzuri duh!
Wakwangu kanizidi akili ndio nilichozingatia
 
Kigezo changu ni kidogo
Mwanamke awe ananipenda na mimi nimpende.

Mapenzi hayajawahi kumuacha mtu salama naogopa kumpenda mtu Kupita kiasi kwasababu maumivu yake ni makubwa tukiachana

Ila wakati mwingine hakuna namna penzi halichagui
Ndoa itatunzwa na wanandoa na ndoa itaharibiwa na wanandoa
Vp umeshampata wa ivo
 
.... nimelewa japo siyo sana nipo bar hapa sijatoka ila nilipokuja mawaiter wote niliona hawana vigezo now naona woote wanavigezo ..... wakarimu balaaaa..... ukiwaagiza siyo wabishi, wanakuletea ulichoagiza na kama bia wanakufungulia... wanakuambia karibu.... sasa huu si zaidi ya utu.... full vigezo..... sorry... waiter ..... waisha limao plzzzzz......[emoji57][emoji57][emoji57]
 
Kuna wanaume hawajui hata walichozingatia
[emoji4]Nikimpata

Mwanamke mwenye sura nzuri lakini mwenye tabia njema.

Mwenye furaha Kuwa na mimi lakini anayependa kukiri makosa na kujifunza Kutokana na makosa.

Mwanamke atakayeitunza na kuijali familia kwa katika hali yeyote ile.

Mwanamke anayeamini katika dini na mwenye staha na heshima anayejipenda na kujijali pia.

Mwanamke mwenye kuchangia katika uendeshaji wa familia na maisha kwa ujumla.

Mwenye kuridhika na kile alichonacho na asiye na tamaa bali mvumilivu.

Sijui ntampata kweli
 
.... nimelewa japo siyo sana nipo bar hapa sijatoka ila nilipokuja mawaiter wote niliona hawana vigezo now naona woote wanavigezo ..... wakarimu balaaaa..... ukiwaagiza siyo wabishi, wanakuletea ulichoagiza na kama bia wanakufungulia... wanakuambia karibu.... sasa huu si zaidi ya utu.... full vigezo..... sorry... waiter ..... waisha limao plzzzzz......[emoji57][emoji57][emoji57]
[emoji23][emoji23]kwa hiyo wote tuwe mawaiter sasa
 
[emoji4]Nikimpata

Mwanamke mwenye sura nzuri lakini mwenye tabia njema.

Mwenye furaha Kuwa na mimi lakini anayependa kukiri makosa na kujifunza Kutokana na makosa.

Mwanamke atakayeitunza na kuijali familia kwa katika hali yeyote ile.

Mwanamke anayeamini katika dini na mwenye staha na heshima anayejipenda na kujijali pia.

Mwanamke mwenye kuchangia katika uendeshaji wa familia na maisha kwa ujumla.

Mwenye kuridhika na kile alichonacho na asiye na tamaa bali mvumilivu.

Sijui ntampata kweli
Hv izo sifa unazozitaka na we unazo kweli[emoji848]
 
Back
Top Bottom