Wanaume hii ni sawa?

Wanaume hii ni sawa?

Malovee

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2020
Posts
202
Reaction score
324
Habari ya jumapili , Naomba niwape mkasa ulionikumba siku ya Leo,nauita mkasa maana umenishangaza!.

Ni hivi Jana nimeungwa kwenye whatsup group la kamati ya harusi ya rafiki yangu, baada kama ya dk 20 mtu akanifuata inbox kunisabahi, bila hiyana nikamjibu.

Kilichonushangaza zaidi ni kuniambia amenipenda baada Aya kuona profile picture yangu na anaomba Leo niende nyumbani kwake .

Hivi hii inamake sense kweli?mtu humjui, then anaomba niende kwake, tukaonane, at least ata angesema anaomba Kwanza ntukutane somewhere tujuane , yaani anahisi anaweza NILA KIMASIHARA?

Em jamani wanaume mjifunze process za kumu approach mtu ,si Kila mtu anaalika KIMASIHARA aisee.

Unamuona mtu Kwa dp unababaika wakati Hana uhakika kama hiyo picha ni yangu kweli. Nimekereka khaswaa.
 
Nitumie hiyo pasport size kwa siri ili niweze na mimi kutoa tathmini ya haki kama huyo jamaa ni fisi tu, au alistahili kuingia majaribuni.

Maana usikute mtoto jicho ka golori kama la huyu jamaa hapa 🙄 na hivyo kumvuruga Baharia wa watu.
🤣🤣🤣Sawa
 
Nitumie hiyo pasport size kwa siri ili niweze na mimi kutoa tathmini ya haki kama huyo jamaa ni fisi tu, au alistahili kuingia majaribuni.

Maana usikute mtoto jicho ka golori kama la huyu jamaa hapa 🙄 na hivyo kumvuruga Baharia wa watu.
🤣🤣🤣Sawa
Hili nalo la kufungulia uzi?
Ndiyo mkuu, na wewe ni kawaida yako?
 
Kipi kimekuonesha nalika KIMASIHARA?
Kwa hapa sisi hatujui ni wewe sasa huko W'app kwako ujitathmini,kama umeweka status umevaa nusu uchi na umekaa mikao miwili mitatu isiyoeleweka na picha za kutoa toa ulimi kama kinyonga anakamata mdudu obviously unalika kimasihara.
Jamaa siyo kwamba ni mgeni ni ana uzoefu wa kukamata watu wanaofanana na wewe labda utake tu kuonekana smart.
 
Huyo anakufahamu, alikosa tu jinsi ya kuwasiliana na wewe. Hilo group limekua msaada. Nenda si mnapiga story tu [emoji3]
 
Habari ya jumapili , Naomba niwape mkasa ulionikumba siku ya Leo,nauita mkasa maana umenishangaza!.

Ni hivi Jana nimeungwa kwenye whatsup group la kamati ya harusi ya rafiki yangu, baada kama ya dk 20 mtu akanifuata inbox kunisabahi, bila hiyana nikamjibu.

Kilichonushangaza zaidi ni kuniambia amenipenda baada Aya kuona profile picture yangu na anaomba Leo niende nyumbani kwake .

Hivi hii inamake sense kweli?mtu humjui, then anaomba niende kwake, tukaonane, at least ata angesema anaomba Kwanza ntukutane somewhere tujuane , yaani anahisi anaweza NILA KIMASIHARA?

Em jamani wanaume mjifunze process za kumu approach mtu ,si Kila mtu anaalika KIMASIHARA aisee.

Unamuona mtu Kwa dp unababaika wakati Hana uhakika kama hiyo picha ni yangu kweli. Nimekereka khaswaa.
Hakuna mwanamke asiependa kutongozwa au kupendwa...

Ni sawa useme mtoto wa kike asijiangalie kwenye kioo...
 
Back
Top Bottom