Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda katoe papuchi, kaambiwa wanawawake wako desperate, NI wa kushika TU mkono, unalalia jiuno lakeHabari ya jumapili , Naomba niwape mkasa ulionikumba siku ya Leo,nauita mkasa maana umenishangaza!.
Ni hivi Jana nimeungwa kwenye whatsup group la kamati ya harusi ya rafiki yangu, baada kama ya dk 20 mtu akanifuata inbox kunisabahi, bila hiyana nikamjibu.
Kilichonushangaza zaidi ni kuniambia amenipenda baada Aya kuona profile picture yangu na anaomba Leo niende nyumbani kwake .
Hivi hii inamake sense kweli?mtu humjui, then anaomba niende kwake, tukaonane, at least ata angesema anaomba Kwanza ntukutane somewhere tujuane , yaani anahisi anaweza NILA KIMASIHARA?
Em jamani wanaume mjifunze process za kumu approach mtu ,si Kila mtu anaalika KIMASIHARA aisee.
Unamuona mtu Kwa dp unababaika wakati Hana uhakika kama hiyo picha ni yangu kweli. Nimekereka khaswaa.
Kipi kimekuonesha nalika KIMASIHARA?
Mwandiko wako.Kipi kimekuonesha nalika KIMASIHARA?
Hanifahamu, story nyumbani kwakeHuyo anakufahamu, alikosa tu jinsi ya kuwasiliana na wewe. Hilo group limekua msaada. Nenda si mnapiga story tu [emoji3]
Dah nikupe mbinu ya kupambana na mtafutaji mwenzangu?Nipe mbinu za kupambana naye
AiseeMwandiko wako.
Ameshaona dalili za kuliwa[emoji16]Huyo anakufahamu, alikosa tu jinsi ya kuwasiliana na wewe. Hilo group limekua msaada. Nenda si mnapiga story tu [emoji3]
Au uliweka passport size ya yule mmama anajifunga miushungi?Dp ya kawaida amkuu tena passport size
Yaweze kuwa, akajua ni woteNenda katoe papuchi, kaambiwa wanawawake wako desperate, NI wa kushika TU mkono, unalalia jiuno lake
Akapewe dozi weweHabari ya jumapili , Naomba niwape mkasa ulionikumba siku ya Leo,nauita mkasa maana umenishangaza!.
Ni hivi Jana nimeungwa kwenye whatsup group la kamati ya harusi ya rafiki yangu, baada kama ya dk 20 mtu akanifuata inbox kunisabahi, bila hiyana nikamjibu.
Kilichonushangaza zaidi ni kuniambia amenipenda baada Aya kuona profile picture yangu na anaomba Leo niende nyumbani kwake .
Hivi hii inamake sense kweli?mtu humjui, then anaomba niende kwake, tukaonane, at least ata angesema anaomba Kwanza ntukutane somewhere tujuane , yaani anahisi anaweza NILA KIMASIHARA?
Em jamani wanaume mjifunze process za kumu approach mtu ,si Kila mtu anaalika KIMASIHARA aisee.
Unamuona mtu Kwa dp unababaika wakati Hana uhakika kama hiyo picha ni yangu kweli. Nimekereka khaswaa.
Hebu nitumie na mimi pm nione kama inashawishi kweliMkuu ni passport size ya kawaida tu
Hapana mkuu, mac ho yangu si malegevu kama yaleAu uliweka passport size ya yule mmama anajifunga miushungi?
Weka hapa hizo mbinu na wengine wajifunzeeDah nikupe mbinu ya kupambana na mtafutaji mwenzangu?
Njoo inbox
Ila yamekodoka kama haya🙄😳🙄😳 ndo maana jamaa kadata.Ha
Hapana mkuu, mac ho yangu si malegevu kama yale
Kwani kuna ambae haliki?Kumbe unalika ila sio kimasihara anyway we mzungushe kidogo alafu peleka mzigo ukaliwe.
Buji buji niachee🤣Ila yamekodoka kama haya🙄😳🙄😳 ndo maana jamaa kadata.
Hata wanawake wa peponi Wana jicho Kodi hivyohivyo
Passport size speaks more than your words...ungeenda mskiza ujue nini anataka ingesaidia pakubwaDp ya kawaida amkuu tena passport size