Wanaume hii ni sawa?

Ni vitu vya kawaida tu hivyo kwa mtoto wa kike wala hata usikereke,unamkaushia tu,maisha yanaendelea.
 
Nenda katoe papuchi, kaambiwa wanawawake wako desperate, NI wa kushika TU mkono, unalalia jiuno lake
 
Huyo anakufahamu, alikosa tu jinsi ya kuwasiliana na wewe. Hilo group limekua msaada. Nenda si mnapiga story tu [emoji3]
Ameshaona dalili za kuliwa[emoji16]
 
Akapewe dozi wewe
 
duh, ndiyo ukaja kunitangazia huku, nilikuita tuchit-chat then usepe zako
 
Maisha yapo kasi hakuna kuzungukazunguka. Mambo ni straight forward ukijizungusha tunaelekea upande mwingine faster kama mwewe kipanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…