Wanaume hii ni sawa?

Nitumie hiyo pasport size kwa siri ili niweze na mimi kutoa tathmini ya haki kama huyo jamaa ni fisi tu, au alistahili kuingia majaribuni.

Maana usikute mtoto jicho kama la huyu jamaa hapa [emoji849] na hivyo kumvuruga Baharia wa watu.
Kizuri kula na mwenzio baba mkuu
 
Wenzako wanamaliza mwaka mzima hakuna wa kuwatongoza,kwa usawa wa sasa hivi Ukiona sisi Wanaume tumekutongoza,Shukuru, kwasababu ni bahati ya pekee.Sasa kwa ushauri zaidi, twende zetu PM.
 
Umekereka na nini sasa hapo? Kwani kakutukana?

Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
 
Wanawake mnashangaza!Sasa kosa la huyo jamaa ni nini mpaka uanzishe mada?Wanaume wajibu wetu ni kutongoza,wanawake mna hiyari ya kukubali au kukataa.Unalalamikia approach aliyotumia?.Hiyo ndiyo aliiona convenient kwake.Wee mjibu au kausha atajiongeza.Chaguo ni lako.
 
Stop wasting time kama unataka mpe na kama hutaki just tell him dont make this a very big deal!Acha uswahili uzungu ni kuwa direct!
 
Mwamba kazingua.
 
Hanifahamu, story nyumbani kwake
So me nikikuita tupige story pale Azure utachukulia hivyo? Kwamba kila anaekuita anataka ku do? What if it's business issues nmeona kwako itakua simple wote kutoboa? [emoji16]
 
Sasa kama DP yako umeweka uliyojibinua binua kwanini usilike kimasihara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…