Wanaume, hii tabia ya kukwepa sala ya asubuhi mbona inazidi kulalamikiwa

Wanaume, hii tabia ya kukwepa sala ya asubuhi mbona inazidi kulalamikiwa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Unapata mchumba mpenda dini, mnafunga ndoa na hata kanisani anaaminika kiasi cha kupewa uwongozi katika moja ya kamati za kanisa kwakua ana mahudhurio mazuri na pia ana heshimu wakubwa na wadogo katika kauli zake.

Nyumbani mnasali sala asubuhi na jioni, tena mnajikabidhi katika mkono ya Mungu kabla hamjalala. Maisha yanaendelea mpakawmnafanikiwa kununua IST na nyinyi mnaondolewa katika idadi ya wasafiri wa mwendokasi.

Sasa mume anaanza tabia ya kuchelewa kurudi. Mara anaanza kurudi Jumamosi asubuhi, anamkuta mke yuko kwenye sala ya asubuhi, inakua kama ameonyeshwa mlango wa lock uo kituo cha polisi. Ataanza ooh kuna mtu ninamcheck mara moja. Lakini ukimwambia nikimaliza kusali nina andaa chai anatulia.

Haya maneno nimeyasikia mara nyingi sana kwenye women forum. Hii tabia ya kuanza kukimbia ibada baada ya kuchelewa kurudi ina uhusiano wowote na yaliyotokea mlikotoka?
 
Unapata mchumba mpenda dini, mnafunga ndoa na hata kanisani anaaminika kiasi cha kupewa uwongozi katika moja ya kamati za kanisa kwakua ana mahudhurio mazuri na pia ana heshimu wakubwa na wadogo katika kauli zake.

Nyumbani mnasali sala asubuhi na jioni, tena mnajikabidhi katika mkono ya Mungu kabla hamjalala. Maisha yanaendelea mpakawmnafanikiwa kununua IST na nyinyi mnaondolewa katika idadi ya wasafiri wa mwendokasi.

Sasa mume anaanza tabia ya kuchelewa kurudi. Mara anaanza kurudi Jumamosi asubuhi, anamkuta mke yuko kwenye sala ya asubuhi, inakua kama ameonyeshwa mlango wa lock uo kituo cha polisi. Ataanza ooh kuna mtu ninamcheck mara moja. Lakini ukimwambia nikimaliza kusali nina andaa chai anatulia.

Haya maneno nimeyasikia mara nyingi sana kwenye women forum. Hii tabia ya kuanza kukimbia ibada baada ya kuchelewa kurudi ina uhusiano wowote na yaliyotokea mlikotoka?
"Jiongeze"
 
Kwa mimi Ibada/kusali nalichukulia kama jambo privacy, napohitaji kufanya hivyo basi inabidi niwe mwenye mimi na Mungu wangu ten awakati roho/Yule aliye ndani yangu anahitaji kufanya hivyo.

Swala la kusali pamoja kila siku inakua ni kama ratiba/circle fulani hivi mmeiweka mwisho inakua ni mazoea ya kusali. Yaani sio unasali kwakua roho yako imeona hivo Hapana bali kwakua mmeweka utaratibu huo na mkeo au mume anakuhimiza kufanya hivyo yaani mnasali kwa mazoea. Kwa upande wangu siwezi funya hivyo...Amka sali kivyako na Mungu wako namimi nitasali kivyangu na Mungu wangu. Sio mnasali wewe ushamaliza sala na maombi yako unaanza kusikilizia kama mwenzio kamaliza. Hapana!

Niliishi na jamaa mmoja mlokole wa Charismatic Catholic huyu jamaa alikua nanilazimisha niombe kwa sauti tena niombe zaidi ya nusu saa..Aisee nilikua nachukia. Nilikua nasali namuacha hapo anapiga mikelele yake yeye anaita kunena kwa lugha.....Wiki 2 nilizokaa nae niliona adhabu

Ni mtazamo wangu, ndio maana mimi nilikua nawaambia nisipoenda kanisani nisiulizwe Why? Nikumbushe tu. Na nikienda usinisifie. Sometimes ninakua na Migogoro yangu na Mungu hafu mtu anakulazimisha kusali.
 
Maombi kwa Mungu hayasaidii mkuu,
na hili jambo mtu yeyeto "timamu hasa" analielewa.

Mungu angekuwa anajibu maombi, nakuhakikishia hakuna ambaye angeacha kumuomba kila asubuhi akiamka.
Tatizo Mungu hayupo na hasikii wala kujibu maombi au sala zetu.

Kikubwa ni jitihada zako na watu wanao kuzunguka ndiyo zitakusaidia au kukuangusha.
 
Unapata mchumba mpenda dini, mnafunga ndoa na hata kanisani anaaminika kiasi cha kupewa uwongozi katika moja ya kamati za kanisa kwakua ana mahudhurio mazuri na pia ana heshimu wakubwa na wadogo katika kauli zake.

Nyumbani mnasali sala asubuhi na jioni, tena mnajikabidhi katika mkono ya Mungu kabla hamjalala. Maisha yanaendelea mpakawmnafanikiwa kununua IST na nyinyi mnaondolewa katika idadi ya wasafiri wa mwendokasi.

Sasa mume anaanza tabia ya kuchelewa kurudi. Mara anaanza kurudi Jumamosi asubuhi, anamkuta mke yuko kwenye sala ya asubuhi, inakua kama ameonyeshwa mlango wa lock uo kituo cha polisi. Ataanza ooh kuna mtu ninamcheck mara moja. Lakini ukimwambia nikimaliza kusali nina andaa chai anatulia.

Haya maneno nimeyasikia mara nyingi sana kwenye women forum. Hii tabia ya kuanza kukimbia ibada baada ya kuchelewa kurudi ina uhusiano wowote na yaliyotokea mlikotoka?
Tuache wanaume tutafute pesa za kuwatunza wake zetu, watoto wetu na familia za koo zetu, tuna mambo mengi ya kuyashughulia dunia hii b halflife time yetu iko limited ndiyo maana tunakuta haraka na kuwaacha ninyi mkifaidi pesa zetu sawa bibi dada!!!!
 
Tuache wanaume tutafute pesa za kuwatunza wake zetu, watoto wetu na familia za koo zetu, tuna mambo mengi ya kuyashughulia dunia hii b halflife time yetu iko limited ndiyo maana tunakuta haraka na kuwaacha ninyi mkifaidi pesa zetu sawa bibi dada!!!!
Lakini mna kera, unakaa jikoni kupika halafu jitu linarudi asubuhi. Mezani umekata matango na machungwa.
 
KUNA MAANA GANI YA KUSALI IKIWA BADO TUNATENDA DHAMBI....YAANI YAFAA UNAPOONGEA NA MUNGU BASI USIRUDIE TENA MAISHA YA ZAMANI
 
Maombi kwa Mungu hayasaidii mkuu,
na hili jambo mtu yeyeto "timamu hasa" analielewa.

Mungu angekuwa anajibu maombi, nakuhakikishia hakuna ambaye angeacha kumuomba kila asubuhi akiamka.
Tatizo Mungu hayupo na hasikii wala kujibu maombi au sala zetu.

Kikubwa ni jitihada zako na watu wanao kuzunguka ndiyo zitakusaidia au kukuangusha.
Sawasawa kabisa
 
Back
Top Bottom