modavid
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 705
- 628
Kama umeniona vile ninavyotega alarmHata nikilala saa tisa lazima cha asubuhi kihusike. Natega alarm kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umeniona vile ninavyotega alarmHata nikilala saa tisa lazima cha asubuhi kihusike. Natega alarm kabisa.
Buji una uhakika wewe na mtoa mada mnaongelea kitu kimoja?Sky Eclat anayekwepa ni huyo BABU KIZEE wako Asprin . Wengine sisi tunapiga maombi hadi watu viuno vinateguka
Nunua hata infinix hot 8 bas hutajutia..nakutania lakini usiwaze tecno f1 haikufaiBuji una uhakika wewe na mtoa mada mnaongelea kitu kimoja?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mada ili iwe tamu ni lazima iwe na mnyumbuliko mpanaBuji una uhakika wewe na mtoa mada mnaongelea kitu kimoja?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Duh mkuu unaonekana kama mtu wa rohoni sana. Nimejifunza kitu.Kwa mimi Ibada/kusali nalichukulia kama jambo privacy, napohitaji kufanya hivyo basi inabidi niwe mwenye mimi na Mungu wangu ten wakati roho/Yule aliye ndani yangu anahitaji kufanya hivyo.
Swala la kusali pamoja kila siku inakua ni kama ratiba/circle fulani hivi mmeiweka mwisho inakua ni mazoea ya kusali. Yaani sio unasali kwakua roho yako imeona hibo Hapana bali kwakua mmeweka utaratibu huo na mkeo au mume anakuhimiza kufanya hivyo. Kwa upande wangu siwezi funya hivyo...Amka sali kivyako na Mungu wako namimi nitasali kivyangu na Mungu wangu. Sio mnasali wewe ushamaliza sala na maombi yako unaanza kusikilizia kama mwenzio kamaliza. Hapana!
Ni mtazamo wangu, ndio maana mimi nilikua nawaambia nisipoenda kanisani nisiulizwe Why? Nikumbushe tu. Na nikienda usinisifie. Sometimes ninakua na Migogoro yangu na Mungu hafu mtu anakulazimisha kusali.
Dads sky nilimuelewa vema ila wewe ndo umenifanya niwaze ibada zingine
Hapana mkuu sio mtu wa rohoni kihivyo,najitahidi tu kujaribu kushika yale yanipasayo (Primary purpose of creation) kushika kama mwanadamu...Kama umejifunza kitu basi Vizuri pia, lengo ni kupashana yale yenye kujenga kama mtoa mada alivyodokeza.Duh mkuu unaonekana kama mtu wa rohoni sana. Nimejifunza kitu.
Mhhm [emoji23][emoji23] Maombi gani hayo?!Sky Eclat anayekwepa ni huyo BABU KIZEE wako Asprin . Wengine sisi tunapiga maombi hadi watu viuno vinateguka
Nichangie basi ninunueNunua hata infinix hot 8 bas hutajutia..nakutania lakini usiwaze tecno f1 haikufai
Ungefungua mada maalumu insyohusu uweza wa Mungu maana hichi ulichojibu hapa ni Parallel na kilichodokezwaMaombi kwa Mungu hayasaidii mkuu,
na hili jambo mtu yeyeto "timamu hasa" analielewa.
Mungu angekuwa anajibu maombi, nakuhakikishia hakuna ambaye angeacha kumuomba kila asubuhi akiamka.
Tatizo Mungu hayupo na hasikii wala kujibu maombi au sala zetu.
Kikubwa ni jitihada zako na watu wanao kuzunguka ndiyo zitakusaidia au kukuangusha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sky Eclat anayekwepa ni huyo BABU KIZEE wako Asprin . Wengine sisi tunapiga maombi hadi watu viuno vinateguka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni ibada ya asubuhi kama inayohusu katika Chuo kidogo cha sala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mada ili iwe tamu ni lazima iwe na mnyumbuliko mpana
Sasa kama hilo jitu lenyewe linaendekeza K-vant zaidi unategemea nini?Lakini mna kera, unakaa jikoni kupika halafu jitu linarudi asubuhi. Mezani umekata matango na machungwa.