Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Hapo kwenye style gani ya kunyoa umenipa mashaka mno. Kama hujui style tafuta mtu akusaidie.Jamani na miaka yangu yote nimekuwa nikijiuliza sana hukusu hizi nywele sijawahi kuzinyoa ila sometime seems like zinakera ndo nauliza hua mnazinyoa na mnazinyoaje wakuu stailstail gan mnakaa
Pia kama hazitolewi niambieni kwa wenye swali hili natumai leo tutapata majibu toka kwa baba na kaka zetu
[emoji1787][emoji119]Mtoa mada akiwa anajiangalia kuziona nyweleView attachment 2516447
Katiba mpya lazima iwe na kipengele kinachoelezea namna ya kuyanyoa hayo mavuzi😂Kwa akili hizi tutarajie Katiba mpya