Wanaume: Hivi hizi nywele za makalio hunyolewa?

Hizo nywele hazinyolewi, ni kizuizi kinachokukumbusha kila sekunde kuwa huko hakutakiwi kuingizwa kitu kingine chochote
 
Sasa ndio nimegundua kwanini watu wanadai katiba mpya kwa haraka sana,maana kama mpaka imefikia kuulizana nywele za makalioni zinanyolewaje,inaonyesha kabisa tunakolelekea sio kuzuri...
 
Unachuchumaa tu mkuu unayapunguza saafi kabisa sio kunyoa mpaka kipara, hayo manywele yakiwa mengi ndio unakutaga mtu anatembea halafu nyuma kwenye location ya spika pameloana.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah jau uko kuloa sasa ujikati? Au unatumia mkasi
 
Sasa ndio nimegundua kwanini watu wanadai katiba mpya kwa haraka sana,maana kama mpaka imefikia kuulizana nywele za makalioni zinanyolewaje,inaonyesha kabisa tunakolelekea sio kuzuri...

Bhna ule ni uchafu kama nyasi zipo nying uki zitoe unatunza bakteria wasio na humuhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…