Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓🪓La sivyo muache kuwataka wake zenu au wapenz wenu wazae.....msitese watoto....watoto hawana hatia.Wanaume wajibikeni katika familia zenu tafadhali
Mwanaume utakula kwa jasho nawe mwanamke utazaa kwa uchungu. Mbona kwenye kubeba ujauzito na kujifungua hakuna kupokezana? Tunzeni familia zenu.Na wanawake wawajibike kwani si watoto wao pia kwa nini iwe kwa mwanaume tuuu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sijui ni me au ke wewe. Unafokafoka kama kala pinaLa sivyo muache kuwataka wake zenu au wapenz wenu wazae.....msitese watoto....watoto hawana hatia.Wanaume wajibikeni katika familia zenu tafadhali
Viumbe hv vnahitaji haki sawa lkn vnachagua wakati sisi tunajaribu kufanya kila kitu kwa usawaNa wanawake wawajibike kwani si watoto wao pia kwa nini iwe kwa mwanaume tuuu 😃😃😃😃😃
Si mlisema maisha ni 50 kwa 50 pambaneni sasa na bado huko tunakoelekea huo singo maza utakuwa mara mia zaidi nyie subirini alafu endeleeni kujichanganya , safari hii mpaka muokote makopoLa sivyo muache kuwataka wake zenu au wapenz wenu wazae.....msitese watoto....watoto hawana hatia.Wanaume wajibikeni katika familia zenu tafadhali
WasijisahaulisheMwanaume utakula kwa jasho nawe mwanamke utazaa kwa uchungu. Mbona kwenye kubeba ujauzito na kujifungua hakuna kupokezana? Tunzeni familia zenu.
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app