Wanaume huwa mnahitaji nini?

Tumechoka kuangaliaa chaneliiii teni tugeuzieni tuangalie kipindi cha wanyama apo tibisiii
 
Watu wengine wana bahati ya kupata mpenzi mwema na mstarabu, lakini huchezea baraka hiyo. Mkuu huyo hakuthamni wala haoni thamani ya kuwa na wewe...piga chini na songa mbele
 
Daaah miaka 33 bado ana mambo ya 20's.
Bidada huyo sio wako HAKUPENDI, kikubwa ni wewe kumove one.

Wanaume wengi ni kweli tunakua na mahusiano na wadada wengi wengi lakini kuna huyo mmoja unaempenda na hufanyi ujinga kwake ni full heshima, sasa huenda huyo mtu sio wewe kwa upande wa jamaa.
Tafuta mtu wako.
 
Huu uzi ungemaliza kwa kuweka namba yako ingependeza, kuna wengine humu tuko na vipawa vya kuwapa utulivu nyie mlioangukia ktk mikono ya wahuni
 
Mwanaume anaekupenda hata ikitokea anacheat atajificha sana, na in case ukijua atajirekebisha haraka! Mkuu unapoteza muda wako, am a man najua!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Each time you forgive a man and take him back for the same mistake, he loses some level of respect for you.

Sasa jitafakari. Hapo hujaolewa wala hujazaa unadhalilika. Ukija kuolewa ama kupachikwa tu ki zygote kuna rangi utaacha kuona kweli?
Mara nyingi maandishi yako yana content iliyo makinika sana

Naomba urafiki mkuu
 
Mara nyingi maandishi yako yana content iliyo makinika sana

Naomba urafiki mkuu
Asante.

Kwani urafiki wenyewe unasemaje Mkuu?

πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸ€­πŸ€­πŸ€­
 
Asante.

Kwani urafiki wenyewe unasemaje Mkuu?

πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸ€­πŸ€­πŸ€­
Ifikie mahali wana jamii muweze kujamiiana vizuri panapo faragha huko pi emu!
 
Ila twende ndani turudi nje mapenzi yanauma..😬
Mi mwenyewe niliachwaga na pisi moja hiyo hasira zikaishia kwenye kung'ata mbao!
Hasa ukiwa upande wa β€œFala” utateseka mno
 
Each time you forgive a man and take him back for the same mistake, he loses some level of respect for you.

Sasa jitafakari. Hapo hujaolewa wala hujazaa unadhalilika. Ukija kuolewa ama kupachikwa tu ki zygote kuna rangi utaacha kuona kweli?
And this goes the other way round!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…