Wanaume huwa mnahitaji nini?

Si bora mimba utazaa?

Akimuomba kwingine kwa kigezo kwamba atatulia?

Atakataa kwa alivyokufa na kuoza?
wewe dada naona umeumia sana sio kwa kukeleketwa huko, utakuta bwana wako anakupiga makofi lakini hapa mdomo mlefu kama samaki chuchunge.
 
Each time you forgive a man and take him back for the same mistake, he loses some level of respect for you.

Sasa jitafakari. Hapo hujaolewa wala hujazaa unadhalilika. Ukija kuolewa ama kupachikwa tu ki zygote kuna rangi utaacha kuona kweli?
You spoke my mind
 
wewe dada naona umeumia sana sio kwa kukeleketwa huko, utakuta bwana wako anakupiga makofi lakini hapa mdomo mlefu kama samaki chuchunge.
Huyu Genius Utopolo kaamkia upande ganii wa kitanda?🤣
 
Pole sana mdada kwa yote unayokumbananayo,ushauri wangu ni kuwa tafuta mtu mwingine huyo hayupo upande wako,anakupotezea muda wako tu
 
Tunahitaji alichomaanisha Mungu alipomuumba Eva na kumkabidhi Adam
 
Dah wanawake Kama nyinyi ndo tunawataka hafu Mpum bavu mmoja anachezea chance Kama hii...Inasikitisha sanaaaaa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]. Pole Sana.
 
Back to me nimeuskia mkuu [emoji1787]as long as hamcheat na mbuzi Ni wanawake na sisi hatucheat na ngo'mbe Bali Ni wanaume hakuna tatizo ...
Kwa hyo mnataka ushindani sio

Shauri yenu sisi ni tofauti na nyie mtachakaa sio utani
 
Wanaume huwa tunahitaji Chini, in short huwa ni Tamaa tu, Msameheme jamaa.

Sisi baba etu ni mmoja hata utafute Mwingine bado hutokuwa salama, mvumilie na Umwombee
 
I know i can treat you better than he can
 
Yani hii ishu yako ni kama ya shoga angu mmoja hivi..Nshamwambia asije tena kwangu kuniletea malalamiko yake ya kipuuzi.
 
Yani hii ishu yako ni kama ya shoga angu mmoja hivi..Nshamwambia asije tena kwangu kuniletea malalamiko yake ya kipuuzi.
Hahahah ukipenda sana mahali unakuwa mtumwa wa hisia zako! Huu uraibu ni mmbaya kuliko Cocaine!
 
Madam usiumize kichwa DUNIA YA SASA NI YA AJABU SANAA.

Ishi maisha YAKO..!!!

Mimi binafsi.

Hata nikijua unachepuka sitokuuliza chochotee, mi ilimradi unanipa kipochi manyoya basi NARIDHIKA.

Ila nikiona your too much (unagawa sanaa) then I will step aside.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…