Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

Nawe mnunuzi? TRA njooni kuna mteja wenu hapa awape risiti ya manunuzi ya bidhaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Almost wanawake wote ni wauzaji na wanaume ni wananunuaji tofauti ipo tu kuna wengine wanafanya exchange direct na wengine indirect. Kuwa mkweli unaweza kuishi na mumeo bila kupata monetary benefits zozote kutoka kwake na moyoni ukawa na amani kabisa?
 
Ushasema mume
Sasa nyie mna muunganiko gani km sio wafanyabiashara? Emu mpewe TIN serikali ichukue mapato 😂😂😂
 
Hili povu je ukipita mtaa wa rikiboy si utazimia kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…