Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwa wakati mwingine mseme pia kuwa aaah kwa hili haliwezekani sio kila kitu" NDIYO",,Sawa
Tatizo ni kuwa kila anaemtaka anampaPole mwaya ndo walivyo hivyo.....chamsingi ni kuacha tu tamaa na kufocus na mambo yako ya msingi, nakuahidi hutokutana na shida kama hizo tena
Shida ndo ilipoanzia hapo naona . Kwa style hiyo ataendelea kulia na kuwalalamikia kila sikuTatizo ni kuwa kila anaemtaka anampa
NAKAZIAchamsingi ni kuacha tu tamaa
mngekuwa kama mimi ingekuwa ni hatari sanaTungekuwa kama yeye
Kwa mwenendo huo kutangazwa ni sana hata huko mitaani.Shida ndo ilipoanzia hapo naona . Kwa style hiyo ataendelea kulia na kuwalalamikia kila siku
Ni kweli, wadada wengi kinachotuponza ni tamaa....yani mtu anataka aishi maisha ambayo hata wazazi wake hawajawahi kuishi., matokeo yake ndo tunakuja kusumbua watu kama hiviNAKAZIA
Apambane na hali yake kwakweli....hapa hatuna cha kumsaidia 😃😃Kwa mwenendo huo kutangazwa ni sana hata huko mitaani.
Au sio ?Wapumbavuuu
Lijitu linanunua Malaya likishakojoa linaleta thread wanawake wote ma.laya🤣🤣
Tabia za mbwa dume huwa ni mchafu kwa asili
Yako radhi yakomalie jike moja afu yakishakojoa ndo akili zinarud
😅 kitachoumia ni sehemu za siriApambane na hali yake kwakweli....hapa hatuna cha kumsaidia 😃😃
Umesema vyema sisi wanaume hatujali tukishamtumia tunapiga chini tunatafuta mwingineNi kweli, wadada wengi kinachotuponza ni tamaa....yani mtu anataka aishi maisha ambayo hata wazazi wake hawajawahi kuishi., matokeo yake ndo tunakuja kusumbua watu kama hivi
Ipo hivyo na itaendelea kua hivyo... akili kichwani kwake sasaUmesema vyema sisi wanaume hatujali tukishamtumia tunapiga chini tunatafuta mwingine
tatizo humu ni kwamba tunawasema sana,Hiyo shida yake! Wakati mnatunyemelea tukiwa skuli kuzitoa hizo bikra mlipanga kutuoa?
Hivi thinking ya wanaume ikoje? Yaani unamtoa mtu bikra na hutaki kumwoa!!
Halafu siku unaoa natakaaa bikraa! Bikra si mlishazitoa?