polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,361
- 5,842
Hakuna manyanyaso huo ndio ukweli mwanamke ni mwanamke na mwanaume ni mwanaume hakuna wa kulibadilisha hiloAcheni manyanyaso ya hapa na pale!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna manyanyaso huo ndio ukweli mwanamke ni mwanamke na mwanaume ni mwanaume hakuna wa kulibadilisha hiloAcheni manyanyaso ya hapa na pale!
Unakua tu na mtu wako mmoja permanent, mnapendana na kuheshimiana basi mambo mengine yanaendelea .... asa sio kila anayekutongoza akikuomba mzigo unampa khaa🤒🤒Kwa hiyo minyege mnataka mkatolee wapi?
Acha bhasi ina maana hujasoma bandiko au ?nimsaidie pesa au nini
Unakua tu na mtu wako mmoja permanent, mnapendana na kuheshimiana basi mambo mengine yanaendelea .... asa sio kila anayekutongoza akikuomba mzigo unampa khaa🤒🤒
Kwa mtu ninayempenda na kumfeel haina shida hata kidogo, tena naweza nikampa bila hata kuniombaAhaaa hapo sawa. Ila kuomba mechi haijawahi kuwa rahisi hata kama mnaheshimiana. Moja ya sababu ya kuchepuka ni pamoja na kukosa sex kwa wakati
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Astakafiru...!
Astakafiru...!
Astakafiru...! [emoji1544][emoji1544][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
Sent using Jamii Forums mobile app
pesa mie sina kwa kweliAcha bhasi ina maana hujasoma bandiko au ?
Duh basi uko tofautiKwa mtu ninayempenda na kumfeel haina shida hata kidogo, tena naweza nikampa bila hata kuniomba
😂😂 Aje tu mtaishi Kama Mitume ya Mungu jangwani.pesa mie sina kwa kweli
mie mwenyewe mganga njaa wa Magetini, Mvuti, pasi ndefu
acheki na nyie wa Tabata
Thanks yaani wakware kweli imagine message tano zote Hi, hello, mambo
Kutamani pesa au kumwagiwa wazungu
Ndo hivyo. halafu still mtu anakuja jukwaani kama hivi analia eti anaonewa[emoji28][emoji2960]...nonsense kabisa[emoji855][emoji706][emoji706]
Acha roho mbaya🤣,ndio uanaume huoTena usiwajibu wanatafuta cha kuja kukusimangia, waogope km ukoma.
Huku jf vichaa wengi be careful
AsanteTena usiwajibu wanatafuta cha kuja kukusimangia, waogope km ukoma.
Huku jf vichaa wengi be careful
Kwa hiyo minyege mnataka mkatolee wapi?