Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
😂 Kada wa Chama unalilia haki !!hapana hapana
na mimi nina haki ya kukojoa kama wafanyavyo wanandoa OG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 Kada wa Chama unalilia haki !!hapana hapana
na mimi nina haki ya kukojoa kama wafanyavyo wanandoa OG
Tofauti ya machela tunalipia kwa rejareja na mume analipia kwa jumla. Ni suala lile lile tu
Achana na watoto wa kiume/wavulana wa humu ndani dear.Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
Hicho kidole ni Cha Mwanaume au Demu?
Kama hauna Msimamo na kujitambua mwenyewe utadharirika na kuitwa majina ya ajabu kama Malaya au Danga.Kwa hiyo kisa nimeolewa sijui kinachoendelea duniani? Au unafikiri kwa kua nimeolewa sipati heka heka zinazosababishwa na wanaume
Marahaba mdogo wanguMjep shkamoo
Waanzishaji wa michezo ya mpalange ni nani? Mbona mnapenda kuomba omba huko. Mkoje?Nikweli tunanunua malaya Lakini ni kwasababu wanawake wetu ni Malaya wa watu wengine.
Lakini hata kwa hao malaya Tunayokutana nayo ni makubwa kuzidi matarajio 🤭.
Unalazimishwa kupitia Kwa Mpalange uende Buza 😂.
Alafu tunanunua Malaya kwasababu Wanapatikana na ni bei rahisi. 📌🔨👣
Don't panic, kujitamba ni moja kati ya sifa kuu za kiume.Michango yenu humu wanawake ni watu wabayaa sana!
Yaani ni wachepukaji, malaya, wapenda hela n.k.
Hivi tukichepuka huwa tunachepuka na mbwa au nyie wanaume mso na maadili?
Tukiuza chini huwa tunawauzia beberu au nyie nyie tamaa ya fisi?
Kazi yenu kujisasibu jinsi mlivyotembea na wanawake dazeni, jinsi mnavyojua kununua malaya, jinsi mnavyojua kula kimasihara....
Mkimaliza raha zenu mnaanza kutopondea umalaya!! Swaini nyie.
Msiwafanye wanawake objects.
Povu ruksa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuchokozwa kidogo tu mnakua kama putin
Faida inategemea ni nani atamzidi ujanja mwenzake. Muhimu kila mmoja aende na mwenzake kimkakati tu, relationship is a trap.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unapenda ligi?
Ipi ina faida na inalipa sasa??
Ukiwa hivyo utakosa mwanaume wa kukuoa hivi nikuulize kila mwanaume ambaye unahisia nae unazani nae anahisia na wewe?kwenye huu ulimwengu ni ngumu kumpata mwanaume wa ndoto zako utastruggle sana wewe unafikiri wote walioolewa wameolewa na wanaume wanaowapenda? Nature inataka mwanamke ajifunze kupenda kulingana na matendo ya mwanaume anayokutendeaBinafsi, Mimi ke siwezi kuwa na hisia kwa mtu nisiyempenda hata anitomase vipi 🚮. Sipendi hata anisogelee.
🤣🤣🤣🤣Wanaume huwa tunavuta bangi za wapi? Unamgonga mke wangu baada ya muda unakuja kuleta uzi....
kaka mbona tunatishana tenaChunguza tena, kama ni mstarabu sana huenda ana id nyingine anayojiachia nayo humu.
Of course, wanasemaga;Ukiwa hivyo utakosa mwanaume wa kukuoa hivi nikuulize kila mwanaume ambaye unahisia nae unazani nae anahisia na wewe?kwenye huu ulimwengu ni ngumu kumpata mwanaume wa ndoto zako utastruggle sana wewe unafikiri wote walioolewa wameolewa na wanaume wanaowapenda? Nature inataka mwanamke ajifunze kupenda kulingana na matendo ya mwanaume anayokutendea
wapenzi watazamaji tuko hapaMkichoka kubishana mkutane bondeni mzichape[emoji3]