Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

Wanaume JF acheni kuwafanya wanawake kuwa "objects"

Mimi si nilikushauri anzisha kujiwe chetu cha majobless ukagoma

Ukumuona mama mchungaji mpe Hi sana
Inabidi niunde group la majobless utupe vocha huko[emoji24]

Niliongea na Mshana akasema hadi hali itulie atarejesha uzi.
 
Hapana🤣
Umenielewa vibaya
Awali si nilikuambua niko kwa shemeji nimehifadhiwa tu sababu sina dira,kwa shemeji utapaitaje "ghetto"?🤣 heshimu nyumba ya shemeji rafiki,ujue ndio napata tonge kujaza tumbo hapa
Kumbe unatudanganya mambo safi na wewe boss humu jf 😂😂😂
Unaogopa kuombwa afu tatu?
 
Back
Top Bottom