Wanaume kuna wakati tunakubali kununiwa na wake zetu pale tunapo warudisha watoto ndani ya mstari

Wanaume kuna wakati tunakubali kununiwa na wake zetu pale tunapo warudisha watoto ndani ya mstari

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Mimi kama Mimi yaani kuna wakati nafanya maamuzi ya kumchapa mtoto wangu wa mwaka na nusu lakini ni lazima nigombane na mama yake,

lakini ninacho jivunia kwa mwanangu ananipenda na ana nitii vizuri tu nikimwambia kitu anatekeleza, mfano lala, kaa , nisubirie hapo hapo,usichukue, acha, nyamaza,nipe, weka hapo, nk.

hakajaanza kuongea ndo kanajifunza ila kanaelewa, ni wa kiume

namuombea kwa mungu aendelee kuwa bora zaidi,
 
Mtoto wa mwaka na nusu kumchapa unamwonea we dingi kiazi.
 
Mimi mtoto wangu wa mwaka na miezi 3 hamsikilizi mama yake yeye anamsikiliza baba tu.

Mama yake anaumia lkn namwambia kuchekacheka na watoto muda wote si nzuri
 
Mimi mtoto wangu wa mwaka na miezi 3 hamsikilizi mama yake yeye anamsikiliza baba tu.

Mama yake anaumia lkn namwambia kuchekacheka na watoto muda wote si nzuri
yaani kuna siku mama yake alitoka kama dk 5 akaenda kuoga akaniachia, kwa kuwa najua mwanangu anaheshimu kauli Yangu nilimwambia, alale Mimi nikaondoka zangu,mama yake alipl rudi kamkuta amelala ila nilimpa kitu ashikilie mkononi kama kuchezea, hakuamka,
 
Back
Top Bottom