Watu wanatengeneza mazingira ya kupiga pesa siku za usoni😁😁😁😁 uanaume utakuwa deal sana miaka ya mbele huko ambako wanaume watakuwa wamelendemka na kulemaa kwasababu ya kuharibiwa uwanaume wao hivyo kuanzisha mitaala ya kufunza wavulana uanaume,,,,,mwnaume tafta hela ache ufala,,,,utatawaliwa sana kama huna hela,,,,,mwanaume unatakiwa utoke asubuhi na mapema urudi usiku,,,,hiyo nyumba sio yako nyumba yako ni kaburi tu,,,,hiyo nyumba ni sehemu ya kupumzika baada ya kutoka miangaikoni,,,,,narudia tena acheni tabia ya kushinda nyumbani,,,,,