Wanaume kupewa kipaumbele Kliniki za watoto ni mtego

Wanaume kupewa kipaumbele Kliniki za watoto ni mtego

Kazi nyingi za nyumbani zinafanywa na wanawake, inaweza kuwa ni mama au dada wa kazi. Hii ni kutokana na uchumi wetu kuwa chini na unaruhusu cheap Labour.

Kadiri maendeleo yanavyokuja ajira kwa dada wa kazi zitapungua, wengi watatapata ajira viwandani. Wanaume itawapasa kufanya kazi za nyumbani.
Labda kwa limbwata. Kwa mwanaume mwenye akili timamu hatakubali huu upuuzi. Kila mtu atimize majukumu yake ipaswavyo tusiende kinyume na mpango wa Mungu.
 
Labda kwa limbwata. Kwa mwanaume mwenye akili timamu hatakubali huu upuuzi. Kila mtu atimize majukumu yake ipaswavyo tusiende kinyume na mpango wa Mungu.
Wa kwangu anapika hadi ugali na kunipakulia, huwa ninachangia kuosha vyombo tu.
 
Wa kwangu anapika hadi ugali na kunipakulia, huwa ninachangia kuosha vyombo tu.
Ongera zako. Wengine tunatimiza majukumu yetu Kama tunavyoagizwa na maandiko matakatifu, hivyo majukumu ya mwanamke tunayaacha kwake including ya jikoni. Mimi kazi yangu Ni kuwezesha ili atimize majukumu yake kiufasaha fulstop.
 
Ongera zako. Wengine tunatimiza majukumu yetu Kama tunavyoagizwa na maandiko matakatifu, hivyo majukumu ya mwanamke tunayaacha kwake including ya jikoni. Mimi kazi yangu Ni kuwezesha ili atimize majukumu yake kiufasaha fulstop.
Anafanya mengine pia lakini kupika anapika, anafua nguo zake na kupiga pasi.
 
Umeandika kwa ufupi lakini very deep. Ndicho kinachojiri. Unajua kuna baadhi ya matukio ya ujauzito mama huwa anayasahau anapokuwa kwa dokta. Anataka apimwe apewe dawa kisha atajiwe another date lakini vingi vinakosekana hapo kati vinavyomsaidia tabjbu kumuatend vyema
kweli mkuu nililiona hili,yaani ilikuwa hivi mwanamme anasema dokta kasema usifanye hiki ama dokta amesema upumzike yaani kiukweli ni muhimu sana,
 
wachunguze vizur hao wanaomsema na kumcheka lazima wanatokea maisha ya kimaskini ukiwauliza waume zao wako wapi wengine hapo hawana hata waume wamezalishwa tu.na kama yupo mwenye mume hana kipato cha kueleweka ni kuunga unga
hapo wengi hawana wanaume hata wa kuwasindikiza kliniki,nisiwadanganye wanawake tunapenda sana kusindikizwa kliniki,na nisiwadanganye ukiwa na usafiri wako mambo, safi basi utapenda umsindikize mkeo kliniki,hayo mengine ni maisha magumu tu
 
Mna abuse neno 'Kiongozi/Kichwa cha Familia',
Hivi mnadhani kua Kiongozi wa Familia ni kukuna korodani tu, kiongozi bora ni yule anayefatilia anaowaongoza, ajue kila muenendo wao, changamoto zao, nakadhalika,

Unajiita Kiongozi wa Familia hujui Familia yako hua inaambiwa nini huko Clinic kama wanafundishwa mambo sio mazuri utajuaje bila kuhudhuria?
 
kweli mkuu nililiona hili,yaani ilikuwa hivi mwanamme anasema dokta kasema usifanye hiki ama dokta amesema upumzike yaani kiukweli ni muhimu sana,
huwezi kumruhusu mkeo apumzike hadi uambiwe na Dokta. Kwani hujui namna ya kuishi na mama mjamzito hadi uambiwe kweli kwani wazee wetu waliotulea bila hata hao amdaktari wala hospitali waliwezaje. Hoja yako ni mfu ni vile tu umelogwa siku mganga wake akifa utakuja kunishukuru
 
Mna abuse neno 'Kiongozi/Kichwa cha Familia',
Hivi mnadhani kua Kiongozi wa Familia ni kukuna korodani tu, kiongozi bora ni yule anayefatilia anaowaongoza, ajue kila muenendo wao, changamoto zao, nakadhalika,

Unajiita Kiongozi wa Familia hujui Familia yako hua inaambiwa nini huko Clinic kama wanafundishwa mambo sio mazuri utajuaje bila kuhudhuria?
kKiongozi unatakiwa kufuatilia tu mkuu sio kubebeshwa mtoto mgongoni umpeleke kliniki aisee. Thie wanawake munafosi sana kutaka kugawana majukumu na wanaume ndio maana munaishia kusagana huko kujifanya matomboy. Upuuzi
 
huwezi kumruhusu mkeo apumzike hadi uambiwe na Dokta. Kwani hujui namna ya kuishi na mama mjamzito hadi uambiwe kweli kwani wazee wetu waliotulea bila hata hao amdaktari wala hospitali waliwezaje. Hoja yako ni mfu ni vile tu umelogwa siku mganga wake akifa utakuja kunishukuru
itakuwa hujanielewa,siku moja mpeleke mkeo kliniki utakuja kunishukuru
 
Bila kupoteza Muda nijielekeze moja kwa Moja kwenye Mada.

Wanawake wamekuwa wakipambania sana usawa 50/50 na serikali imekuwa ikitumia mbinu Nyingi sana ili kufanikisha jambo hilo ambalo ni kinyume kabisa na tamaduni zetu, hata kwenye vitabu vyetu vya dini ambavyo vinataka mwanamke awe msaidizi wa mwanaume, Tena ikimtambua Kiumbe dhaifu.

Sasa siku za karibuni serikali imeweka utaratibu kwenye Clinic zetu baba akimpeleka motto apewe kipaumbele ahudumiwe kwanza asikae kwenye foleni kama wengine lengo ni kuhamasisha wanume nao waende cliniki au wapeleke watoto clinic

Wakuu huu ni mtego itafika wakati akina mama hawatapeleka tena watoto clinic na yatakuwa majukumu rasmi ya baba, tukikubali hili wanaume tumeisha Aisee, tutakuwa tumejiingiza wenyewe kwenye majukumu haya ambayo tangu kuumbwa kwa ulimwengu yalikuwa ni majukumu ya Akina mama.

Jambo la Pili Hivi karibuni NIliona taarifa moja kutoka huko mbeya ikieleza kuwa majengo ya akina mama ya kujifungulia kuwe na sehemu ambayo akina baba pia watakuwa wakishuhudia Live kabisa vile mke wake anajifungua ili nawe upate ule uchungu na maumivu.


Huu nao ni mtego Tusiposhtuka mapema Maana jukumu la kuzaa ni mwanamke kwa sisi Wakristo biblia katika kitabu cha Mwanzo 3:16 inasema hivi

Kisha akamwambia mwanamke, “Nitakuzidishia uchungu wa kuzaa, kwa uchungu utazaa watoto. Hata hivyo utakuwa na hamu na mumeo, naye atakutawala.”

Hapa napo wanataka kutushirikisha kwenye uchungu ambao sisi wanaume hatuhusiki.

Wewe kama ni mwanaume fanya kazi kwa Bidii usichague kazi ya kufanya hakikisha watoto wanaishi katika mazingira mazuri, wanakula mlo kamili, wanapata elimu kuwatimizia mahitaji yao yote hayo mengine tusiukubali huo mtego.

Wasalaam
Hili ni janga mkuu.. Yeyote mwenye akili iwe ni mwanamke au Mwanaume kwenda kliniki sote twajua ni jukm la mwanamke

Haya mambo ya 50/50 ni agenda za mpinga kristo!!!

Nakumbuka miaka Ile shule za msingi tulisoma Kabisa mgawanyo wa majukmu katika familia(maarifa ya jamii Drs la3)

Alf Leo hii wasomi na wasanii ( vioo vya jamii wanapotosha bila hata kujali).. naunga mkono hoja
 
Hili ni janga mkuu.. Yeyote mwenye akili iwe ni mwanamke au Mwanaume kwenda kliniki sote twajua ni jukm la mwanamke

Haya mambo ya 50/50 ni agenda za mpinga kristo!!!

Nakumbuka miaka Ile shule za msingi tulisoma Kabisa mgawanyo wa majukmu katika familia(maarifa ya jamii Drs la3)

Alf Leo hii wasomi na wasanii ( vioo vya jamii wanapotosha bila hata kujali).. naunga mkono hoja
Kabisa Mkuu
 
Wanaume tuna mambo ya ajabu

Mtu anaweza mfanyia mabaya mke wake ila hataki dada yake atendwe hivyo.

Hataki binti yake atendwe hivyo..


Binafsi nimeenda Clinic kumpeleka mtoto mara 1 peke yangu
 
kKiongozi unatakiwa kufuatilia tu mkuu sio kubebeshwa mtoto mgongoni umpeleke kliniki aisee. Thie wanawake munafosi sana kutaka kugawana majukumu na wanaume ndio maana munaishia kusagana huko kujifanya matomboy. Upuuzi
Kiongozi ni lazima ajue uzuri na ubaya wa kubeba Mtoto mgongoni, Kiongozi bora ni yule anayetenda na sio kuamrisha,
Kusagana ni starehe kama starehe zengine lakini kwenda Clinic ni Wajibu na Jukumu lenu nyote.
 
Kiongozi ni lazima ajue uzuri na ubaya wa kubeba Mtoto mgongoni, Kiongozi bora ni yule anayetenda na sio kuamrisha,
Kusagana ni starehe kama starehe zengine lakini kwenda Clinic ni Wajibu na Jukumu lenu nyote.
Hiyo sio Sehemu ya majukumu ya kiume. Wewe endelea kusaga wenzio Kwa starehe zako
 
Back
Top Bottom