Wanaume kuwa na ngozi nyororo kama mwanamke

Huyo mwanume aliyekugeuza single mama nadhani alishakufa maana jinsi ambavyo unawajadili wanaume angakuwa bado hai asingeweza kuishi dunia hii.

Na mbona uandike kama unawajua wanaume wote duniani?discuss wale unaowajua yaani wale waliokuzunguka sio kujaza server hapa na mada zako zisizokuwa na kichwa wala miguu.
 
Nilijua tyu ni wale wale sema sikuwa na uhakika 100%.
haaaaaa haaaaaa sio wote mkuu..Mimi ni mwanaume wa daslaam lakini sinaga mambo ya ajabu ajabu!kuna watu wanatuharibia tunaonekana wanaume wa dar wooote ovyo...
 

Ndugu yangu laiti ungekuwa shushushuu nadhan usipata mida wa kupoteza kuwajibu baadhi ya watu.

ivi unajua jr single mom ni wengi zaidi ya ujuavo?

ivi unajua lakin hahaha ngoja niishie hapo tu.

mkuu usisumbuke na neno
 
Ndugu yangu laiti ungekuwa shushushuu nadhan usipata mida wa kupoteza kuwajibu baadhi ya watu.

ivi unajua jr single mom ni wengi zaidi ya ujuavo?

ivi unajua lakin hahaha ngoja niishie hapo tu.

mkuu usisumbuke na neno
nimeona kuna ukweli ndani yake mkuu
 
Non sense!
 
Chezea Wanaume wa Dar baadhi yao wanaishi kwa kula Biscuits, Chips Mayai na Soda kwa wingi, hawataki shida kabisa.
 
Imebidi nipitie threads zako na zote zinaponda wanaume tu, kulikoni Dada?
 

Weye unawashwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…