Wanaume kuwa na tabia za kikekike ni janga linaloikumba Nchi yetu

Hii kitu ni upuuzi wa hali ya juu, yaani mwanamume anayepiga goti wakati anamvalisha mwanamke pete ni MPUMBAVU sana
Kuvalishana pete ni utamaduni wa kukopa kwa jamii ya magharibi, Africa hatukuwa na kitu kinachoitwa pete. Tena pete za kuvalishana kama ishara ya upendo and blah blah.

Hivyo: walipoiga huo utamaduni wahusika wanawapigia magoti wanawake zao kama ishara ya kuwaomba mkono kukubali kuolewa nao. Maana yake anayeomba ndiye anayenyenyekea ili apewe, Hamuwezi kuchukua utamaduni wa watu na kuuedit, either muendelee kupiga goti au hilo swala la pete lisiwepo sababu si utamaduni wetu from the first place.

Sisi waafrica tumeiga kila kitu halafu tunalazimisha kuvicustomize viwe vya kwetu na kuharibu maana nzima ya jambo husika. Tuwaachie wahusika utamaduni wao wa kuvalishana pete huku Me akiwa amepiga goti.

My two cents.
 
Hii style ya wanaume kucheza muziki kwa kukata mauno sijawahi kuielewa kabisa, enzi zetu ilikua wanawake ndo wanasifiwa kwa mauno lkn naona siku hizi mambo yamegeuka
 
Je wanawake wote duniani wako hivyo mkuu
 

Tunashukuru kwa kuwafikia hawa wanawake toleo la pili
[mention]CityHunter1 [/mention] & [mention]Ritz [/mention]
 

sasa huyu [mention]Ritz [/mention] tumuweke kundi gani
 
 
Brazaa unafoka..
Kaka kaka unafoka
Oaa weee una foka mnooo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…