othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Aaaah kuwapenda gani huko wkt mnawaanika humu kuwa hawawaridhishi hapo mtakuwa mnafanya maigizo tu ila ukweli ni kwamba mna mengi moyoni lkn mnaogopa kuwaelezaKwa sababu tunawapenda sana sasa kuwauzi na kuwaacha kisa hako ka tatizo it's not fair
Wanaume wengi huwa mnapenda kazi sana na kujisahau kutenga mda wa kuwa na familia mnafikiri mkishampa mke pesa na msosi na kulipa ada inatosha
Wanawake wote wanaoliwa nje ya ndoa zao,ni kwamba wanaume zao hawatimizi majukumu yao ndani ya ndoa zao?? Jibu ni hapana! Nina rafiki yangu,ni mtu mwenye pesa zake tu,na anatunza mke na watoto wake,kila kitu Mme wake anampa,likizo wanaenda nje kutembea,watoto wanasoma shule nzuri tu,ana nyumba nzuri yakuishi,nyingine za biashara,hadi wana hotel pale mkoani ............ Lakini mwanamke ni malaya balaa!Swahiba mtu akioa mwanamke mwenye hulka ya umlaya hilo ni swala lingine, sababu mwanaume ndio muamuzi na muoaji.
Hapa Mtoa maada hajalenga kundi hilo ila amelenga wale wanaume waliojaliwa kuoa wanawake sahihi lakini hawatimizi majukumu ya mume kwa wake zao.
Wanaume kutunza wake zenu kitu muhimu mnoooo, sanaaaa. Heri kufanya wajibu wako kama mume ili akikucheat ujue ni wewe mwenyewe ulikosea kwenye kuchagua mke. Kuliko usimtunze maana utakua unamsukumia kwenye mazingira hatarishi
View attachment 1950292
Kwa kweli kila siku wako busy tu na hizo kazi utafikiria wao ndio wa kwanza kuajiriwaKuna wanaotumia muda kwa michepuko na kusahau wake zao......
Wacha wapigiwe tu!!!!
Tunawapenda na kuwajali hatuwaachi ng'o hyo ya kusubiria meli airport imenifuraishaAaaah kuwapenda gani huko wkt mnawaanika humu kuwa hawawaridhishi hapo mtakuwa mnafanya maigizo tu ila ukweli ni kwamba mna mengi moyoni lkn mnaogopa kuwaeleza
Njoo upate raha ya dunia tunaishi mara moja tu, kumvumilia mtu ambaye unajua tatizo lake ni la kudumu, ni sawa na kusubili meli airport
Wanawake wote wanaoliwa nje ya ndoa zao,ni kwamba wanaume zao hawatimizi majukumu yao ndani ya ndoa zao?? Jibu ni hapana! Nina rafiki yangu,ni mtu mwenye pesa zake tu,na anatunza mke na watoto wake,kila kitu Mme wake anampa,likizo wanaenda nje kutembea,watoto wanasoma shule nzuri tu,ana nyumba nzuri yakuishi,nyingine za biashara,hadi wana hotel pale mkoani ............ Lakini mwanamke ni malaya balaa!
Hivi kama nikutimiza majukumu,kipi kimewatenganisha Bill Gates na Melinda??
ACHA UZINZI.........ACHA!!Huu ni ushauri kwa wanaume wenzangu mliooa, jitahidini kadri ya uwezo wenu kutimiza wajibu wenu.
Naomba niwakumbushe, hakuna mwanamke rahisi kutongoza na kumla kama mke wa mtu, ni rahisi sana. Lakini pia hakuna mwanamke mgumu wa kumtongoza na ukamla kama mke wa mtu ambae mume wake anatimiza wajibu wake kadri awezavyo.
Wanawake ni viumbe ambao ni very appreciative, wavumilivu sana. Ukiacha wanawake wanaojiuza, hadi mwanamke alie kwenye mahusiano aamue kuchepuka basi amevumilia mengi sana na ameongea mengi sana na hayajafanyiwa kazi na kwa akili ya wanawake atachujulia amedharaulika.
Turudi kwenye hoja, mimi binafsi najisikia vibaya kula wake za watu, wengine walikua wapenzi wangu kabla ya kuolewa, wengine tunakutana tu mitaani lakini nakua sina namna inanilazimu tu kuwala hivyo hivyo mara maana hakuna namna nyingine sasa(kwa sauti ya Pinda).
Pia tunapooa, tusiwachukulie hawaviumbe poa, usisahau kua ulimchukua kutoka kwa mtu mwingine, labda kama ulioa bikra.
Mwanaume hata kama unalewa basi usiipe pombe kipaumbele kuliko mwanamke, kuna bwege mmoja aliambiwa aache pombe anamwambia mke wake, bora niache mke kuliko pombe. Huyu tumemshikisha adabu, analea mtoto wa mtu kiroho safi tu. Lipo wazo aongezewe mtoto wa pili, na atapewa tu.
Huu ni ushauri wa bure tu kwa wanaume wenzangu, jitahidini kutimiza wajibu wenu hasa mlioko kwenye ndoa. Watu wengine hatujisikii vizuri kula wake zenu lakini inatulazimu, unakaa na mke mwezi, miezi 2 hujamtia, eti uko busy, unachoka, unalewa sana, mtatulelea sana watoto wetu.
[emoji1][emoji1][emoji1] kijana, Mungu alimtengeneza mwanamke mmoja tu aitwae eva na walikuwa wawili tu ulimwengu huu lakini bado eva alikwenda kumsikiliza nyoka,Nyongeza.......
1. Hakikisheni mnawagegeda vyema wake zenu..... sio ndani kimoja cha sekunde 2 nguvu unamalizia nje.... utakuja kulaumu kuwa wanawake hata wapewe kila kitu watasaliti..
2. Tunza mkeo lasivyo waja watakutunzia
3. Tenga muda na mkeo....la sivyo utakuja laumu dunia
4. Heshimuni wake zenu...msiwadharau...micheps isiwape kiburi cha ujinga...wadekezeni wajalini ...kuna wanaume wanajua kudekeza wake zenu wakiangukia humo kwisha habari zenu
5. Heshimuni ndoa zenu... hata ukichepuka hakikisha mkeo hajui. Sio mnafanya umalaya hadi kwenye pua za wake zenu....kila shimo mnalitaka nyie.
Hawa wanawake Watasemehe mara moja mbili....wakiota usugu mtajuta...mtagongewa mpaka na "bodaboda" wenu!!!! Atakaa kwa ajili ya watoto ila Wenzio watajipigia mpaka wakimbie wenyewe
6. Toka na mkeo (kuna viumbe ukimuona kaongozana na mkewe ni msibani , site au shopping za watoto...... ngoja wanaojua kwenda viwanja na wake zenu wawapeleke
7. Acheni kujinunisha hovyo na ukali wa kijinga......kuna mwenzio anabembeleza...anabembeleza na anabembeleza tena....
Unaweza kuwa ni memba wa jf uliyewaza vizuri sana kwenye uzi huu.Huu uzi niliuona saa 11 alfajiri.
Nikaupita kwakua nilikua natakiwa nipige maombi nikahofia nitakuta ujumbe mbovu.
Mzee haujaandika huu uzi ile alfajiri ili kutupa habari jinsi ulivyo mwamba katika kutiana.
Umeandika muda ule kwakua guilty consciousness inakusumbua.
Hauko free na unajua kua hauko free.
Good luck.
Acha wachapiweKwa kweli kila siku wako busy tu na hizo kazi utafikiria wao ndio wa kwanza kuajiriwa
Mwenyewe anakazia "Hata usemeje"Mkuu, Matendo unayoyafanya sasa huwa yatakuja kujirudia kwa vizazi vyako. Baba ukiwa mchepukaji na watoto watakuja kuwa kama wewe, hapo unajiandalia kizazi cha uchepukaji.
Miaka kumi iliyopita kuna mpangaji wetu aliwahi kufumaniwa anafanya mapenzi na Dada yake wa tumbo moja, mwezi uliopita nimekuja sikia mtoto wa yule jamaa nae anatuhumiwa kutembea na mdogo wake. Nikaja kukumbuka yale matukio ya Baba yao nikaunganisha dot.
Sawa Dada tutafanya marekebishoWanaume wengi huwa mnapenda kazi sana na kujisahau kutenga mda wa kuwa na familia mnafikiri mkishampa mke pesa na msosi na kulipa ada inatosha
Kweli mkuuWasiotaka kuwajibika watakuja kukunanga ila imepenya hii💊💉
Mwanaume kuwa kichwa cha familia ni mpango wa Mungu na mwanamume kutimiza wajibu wake ni utaratibu wa Mungu
Mungu awatunze wanaume na kuwabariki katika kutimiza majukumu yenu
Inaonyesha hujaoa. Siku ukioa hata utimize vyote mke wako pia ataliwa tu. Hujawahi sikia mwanamke anapewa kila kitu with good sex lakini analiwa na muuza butcher kwa nyongeza ya utumbo au maini?Huu ni ushauri kwa wanaume wenzangu mliooa, jitahidini kadri ya uwezo wenu kutimiza wajibu wenu.
Naomba niwakumbushe, hakuna mwanamke rahisi kutongoza na kumla kama mke wa mtu, ni rahisi sana. Lakini pia hakuna mwanamke mgumu wa kumtongoza na ukamla kama mke wa mtu ambae mume wake anatimiza wajibu wake kadri awezavyo.
Wanawake ni viumbe ambao ni very appreciative, wavumilivu sana. Ukiacha wanawake wanaojiuza, hadi mwanamke alie kwenye mahusiano aamue kuchepuka basi amevumilia mengi sana na ameongea mengi sana na hayajafanyiwa kazi na kwa akili ya wanawake atachujulia amedharaulika.
Turudi kwenye hoja, mimi binafsi najisikia vibaya kula wake za watu, wengine walikua wapenzi wangu kabla ya kuolewa, wengine tunakutana tu mitaani lakini nakua sina namna inanilazimu tu kuwala hivyo hivyo mara maana hakuna namna nyingine sasa(kwa sauti ya Pinda).
Pia tunapooa, tusiwachukulie hawaviumbe poa, usisahau kua ulimchukua kutoka kwa mtu mwingine, labda kama ulioa bikra.
Mwanaume hata kama unalewa basi usiipe pombe kipaumbele kuliko mwanamke, kuna bwege mmoja aliambiwa aache pombe anamwambia mke wake, bora niache mke kuliko pombe. Huyu tumemshikisha adabu, analea mtoto wa mtu kiroho safi tu. Lipo wazo aongezewe mtoto wa pili, na atapewa tu.
Huu ni ushauri wa bure tu kwa wanaume wenzangu, jitahidini kutimiza wajibu wenu hasa mlioko kwenye ndoa. Watu wengine hatujisikii vizuri kula wake zenu lakini inatulazimu, unakaa na mke mwezi, miezi 2 hujamtia, eti uko busy, unachoka, unalewa sana, mtatulelea sana watoto wetu.
Duuuuu.[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Kila mtu a play part yake sio Mimi mwanamke nijichoshe kumfuraisha mtu mzima mwenzangu never on earth hana nguvu za kiume Hilo ni tatizo lake na saikolojia yake siwezi kumsubiria mda wote huku nikifa na ugwadu wangu loh
Kwa sababu tunawapenda sana sasa kuwauzi na kuwaacha kisa hako ka tatizo it's not fair
Huwa unashWanawake wote wanaoliwa nje ya ndoa zao,ni kwamba wanaume zao hawatimizi majukumu yao ndani ya ndoa zao?? Jibu ni hapana! Nina rafiki yangu,ni mtu mwenye pesa zake tu,na anatunza mke na watoto wake,kila kitu Mme wake anampa,likizo wanaenda nje kutembea,watoto wanasoma shule nzuri tu,ana nyumba nzuri yakuishi,nyingine za biashara,hadi wana hotel pale mkoani ............ Lakini mwanamke ni malaya balaa!
Hivi kama nikutimiza majukumu,kipi kimewatenganisha Bill Gates na Melinda??
Wamezuliwaje uongo? Au husomi biblia mkuu,nikwamba mfalme daudi alikua mzinifu Sana alizini na mke wa huria na mbaya zaidi akamuua mume wa huyo mama kwa kumuweka mbele ya vita ili ashambuliwe na adui na afe ,lakini pia watoto wa daudi yaani amnoni na Absalom waliingia mtafaluku baada ya amnoni kumlazimisha au kumbaka mke wa kaka yake Absalom na baada ya kutimidha adhma hiyo na miaka miwili baadae Absalom akamuua amnoni na pia Absalom akatata kupindua ufalme wa baba yake lakini baadae akachinjwa na jemedari mkuu wa mfalme daudi aliekua anaitwa yoabu mwana wa seluya na kusababisha majuto makubwa kwa mfalme daudi .AsanteHoja yangu siyo heshima hoja yangu ni nyinyi kuwazulia UONGO watu hao. Uongo ambao huwezi kuutetea,sasa tofautisha nilichokiandika na unachojibu ni mbingu na ardhi.