Wanaume mliopata wake wa maana wa kuoa, mliwezaje? Au mlijitoa tu ufahamu mkaoa

Wanaume mliopata wake wa maana wa kuoa, mliwezaje? Au mlijitoa tu ufahamu mkaoa

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini,

Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo?

Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?

Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.

Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
 
Honestly haya mambo hayana formula, live your life but kwneye hili Muombe sana Mungu wako saanaaa

Sikuizi hata wa kanisani hawaaminiki, atatulia na ww ila ukishaoa anakubadilikia. Unaweza okota wa mtaani huko akadumi.

Mwisho wa siku omba sana maana kwa field mambo si marahisi
 
Kaa tulia,andika mahitaji yako unataka mke wa vipi,shirikisha mamlaka zako za juu yaani Mungu au vyovyote muombe Sana Mungu,mke na malezi havina ufundi Ila vinawezekana Kwa kumshirikisha Mungu na pia mke anatengenezwa,sio mke atakae kuja atakuwa na kila ulichokitaka Ila ndio ameletwa na Mungu badae kila mtu atamuelewa mwenzie! Ila usisukumwe na muda Kwa kuwa Una haraka ya kuoa umri imefika ukahisi kila mwanamke ukimkuta barabarani unaweza kumuoa! Kumbuka unatafuta mtu WA kuishi nae maisha yaliyobaki Kwa hiyo Ka mzigo kadogo Kwa kuwa safari ni ndefu unaweza his kana bebeka kumbe ni kazito Kwa kuwa unaenda nako mbali,kuwa mpole,nenda taratibu,tumia hekima kubwa ila Mungu kwanza
 
Hakuna formula maalumu mkuu.

Ukweli ukihitaji kuoa Ile serious ghafla Kila demu uliyekuwa umemuwekea malengo unaona hafai Tena na kweli anakuwa hafai kabisa.

Mimi ilinitokea baada ya kuona nafeli kwenye nukta ya mwisho wa field yangu.

Nikaadhimu kukaa na mzee nikamwambia mzee Kila binti nae taka kumuoa tunaanza vzr mwisho naona hanifai!!

Jukumu alilibeba mzee A-Z na lilifanikiwa vizuri na kwa ufasahasana Hadi leo na enjoy.

Familia ya kwanza ilikuwa pisi nzuri ya kijijini ndani ndani hata Mimi nilipoiona nilisema mzee anajua na kujua zaidi.....

Lakini mzee kumbe alikuwa Bado anafanya investigation zaidi ndipo akaambiwa ukoo huo (Babu yake na binti )alikuwa na ukoma


Taarifa hizi nilizipokea Kwa shingo upande tu maana Tyr nilikuwa nimeanza kuwasiliana na yule binti nae alikuwa kanielewa....

But ilibidi nitii sikuwa na namna.

Ndipo mzee akapata Kwa familia niliyo oa hii
 
Habarini,

Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo??

Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?

Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.

Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
Weee unamchukulia mwanamke kama kitu cha thamani saana kana kwamba bila mwanamke huwezi kuishi! Pole! Mwanamke ni species ya binadamu ambayo haijari "don't care" tofauti na wanaume ambao ufikiria "hatima" ya kesho. Mwanamke uishi kwa hisia kwa kile kinachompa raha leo bila kujari kesho itakuwaje! Sasa species za aina hii ukiziweka akilini utakufa mapema!
Mimi nina vjiwe vyangu kadhaa vya chips, nyama choma, na grocery! Wateja wangu wengi ni akina dada! Japo siifanyi moja kwa moja hii biashara (nimeweka vijana) lakini nimeona kitu cha ajabu kuhusu hawa species! Chips yai ni book 3. Mbinti anaweza kuwa na hiyo hela lakini atajilegeza na kulialia umpe bule au mbadilishane kwa kukupa mbususu!! Can you imagine! Sasa kama unataka kuwanasa anzisha kijiwe cha chipsi/mishikaki/nyamachoma/kitimoto alafu utuletee mrejesho!
 
Habarini,

Niko kwenye umri wa kuoa ila kila nikiangalia sioni mke wa kuoa, binafsi sina standards kubwa ninazotarajia toka kwa mdada, na siko picky kihivyo, shida nikisema huenda huyu ni potential wife, unakuta mdada ni block 41 kikosi cha mizinga, hata kwenye mazingira ninayoishi kuna wanaume wengi tu wako kwenye umri wa kuoa, wana kazi nzuri tu, ila bado wapo single, sawa huenda mimi nina tatizo (personality problem) ndo maana sipati mke, lakini je hata wanaume mabachela naowajua nao pia wote wana tatizo??

Mdada ambaye atakuchukulia kama a friend and a life partner, muanze familia from the scratch hadi mzeeke pamoja, mwanamke ambaye sio lazma awe mzuuuri, awe tu mwenye mwonekano wa kawaida unaoridhisha na tabia inayoridhisha, wanaume wenzangu mliooa wadada wa hivyo, mliwapata wapi?

Huku mtaani all I see ni wadada ambao wanataka ku-suck life out of you wakuache empty, naishia kuona wadada ambao wanataka financial help na sio love.

Mfano imagine unamwita mdada uliezoeana nae tena mnaishi mtaa mmoja, aje barabarani uliposimama mpige tu story, anakuuliza akija utampa nini, na hujamwomba namba na hujawahi mtongoza, u can imagine jinsi wadada wengi walivyo sick kitabia huku mtaani.

Weekend njema
Sisi ambao hatukupata wake wa maana na tukaoa, tunachangia wapi?
 
Back
Top Bottom