Wanaume mmekuwa chanzo cha Wanawake kupitia mateso kwa makosa yenu mliyoyafanya kwa Ex zenu

Mbaya mkuu… mimi mpk Leo nina maumivu kwa yaliyomtokea ex wangu,, ukizingatia alikuwa bado Kijana mdogo mwenye malengo mengi na amepambana mpk kujipata anataka kula matunda ya kuteseka kwake mwanamke anamkatili uhai wake
 
inatokea bila matarajio
Hakuna hiyo mkuu,, wewe unakaa 6 year na mwanamke tangu akiwa msichana mpk anaelekea umamani then ushampotezea Watu ambao walikuwa serious wanataka kumuoa uka muhold ujaishia hapo umeshamzalisha halafu Leo kafika 32 et uwezi muoa unataka watoto wa 2000 dear utakufa vibaya wewe
 
Kwanza kabisa siwezi fanya ujinga huo.
 
Kwetu sijawahi sikia wala kuona mchawi.. kwaiyo mimi siwezi kuwa mshirikina kwenye familia yetu.. mimi mwenzako ni pendapenda sijawahi kusema et huyu namganda.. nikiachwa Leo nikakutana na mwinginee nitampenda na yule nitamsahau
Ghai wale wale,,m mwenyewe nadumbukia kwa mwingine dubwiiii kuepusha matatizo.
 
Sio kila mahusiano lazima yafikie ndoa mkuu...
Na hata mkiwa 10, mwisho wa siku lazima mkubaliane na ukweli mchungu kwamba atakae olewa ni 1 tu...
Mkuu mimi nimekubali sio kila mahusiano yataishia kwenye ndoa je Zuchu atakubali
Ndio maana nimesema wanawake tumetofautiana mkuu
 
Mtu kama anaenda ndivyo sivyo anaachwa vizuri tu. Na akijaribu kurusha makombora yatamlipukia mwenyewe. My wife is 100% safe. Yesu hakuja duniani kuzurura!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…