Wanaume mmekuwa chanzo cha Wanawake kupitia mateso kwa makosa yenu mliyoyafanya kwa Ex zenu

Mtu kama anaenda ndivyo sivyo anaachwa vizuri tu. Na akijaribu kurusha makombora yatamlipukia mwenyewe. My wife is 100% safe. Yesu hakuja duniani kuzurura!
Sawa mkuu
Watakaopona ni waliokubali kufanya toba na kuwaomba msamaha wa dhati hao wanawake kwa kuwapotezea muda na ndipo hapo huyo Yesu atafanya ulinzi juu yako na familia yako ila bila hivyo hata Yesu atakuacha tu ulipie gharama ya dhambi zako.. maana mshahara wa dhambi ni mauti mkuu
 
kibuyu kimelia
 
Pia mwanamke akinuizia kwenye ile damu yao ya mwezi......jambo hutokea......ulozi ni kipengelensky
 
Tongoza wanafunzi , hasa wa chuo kama huna malengo ya kuoa, hao hawana visasi , ni pesa yako tu.

Hawa wawanawake wa mtaani wako open kwa ndoa,hawajui chochote hata kama ni maamuzi ya kichwa cha chini yamefanyika but no malengo,yeye ikimfata tu kesho yake anaelezea ukoo mzima kuwa amepata mchumba, sasa jichanganye umuache na asikie unaenda kuoa kwingine , kila rangi hutaacha kuona[emoji28]
 
Mimi sitetei mtu anayemwacha mwenzake kwa hila. Nazungumzia anayeacha katika HAKI. Kuna wanawake usipowaacha wanakudelilalaizi chap. Before being delilalaizdi let her delilalaizi herself!
 
Wanawake mnamalizana na kukomoana wenyewe kwa wenyewe wanaume hatuhusiki kabisa. Jifunzeni kutoka kwetu kuhusu kumove on. Wanaume ukishasema it's done umepata mwingine haturudi nyuma tunasonga mbele hata kama ni kwa maumivu. Men don't fight for a cheating woman. Na tunaacha bila aliyeachwa kujua anajikuta tu yuko single. Tuna uwezo wa kukulisha na kukupa huduma nyingine ila ndio tumekuacha.

Siku mkiamua kupendana bila unafiki dunia itakuwa sehemu salama ya kuishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…