Wanaume mna moto wa peke yenu. Siamini!

Soma hii coment!soma!

Fanya mapenzi Kwa ajili ya furaha ya moyo wako,Fanya na mtu unaemridhia na huna kinyaa nae hata baada ya kufanya!

Jenga future yako mwenyewe ,zaa na mtu unae mhusudu Lea mtoto binafsi huku mkishirikiana nae kwenye mambo ya msingi kuhusu mtoto!

Ndoa za kwenye makaratasi plus shela zinawatesa coz you Long for it,live for it but ni gereza la fikra!

Ndoa ni imani tu sio rasmi kama hivyo mnavyotaka!zaa hata na mume wa mtu unaempenda hasta ukiwa mchepuko wa kudumu isikuumize coz ndie mtu unaempenda na atakua mumea kutokana unavyomchukulia na sio urasmishaji!

Kwanini mnajifinyanga kwa mateso yote haya!!?

Kama alikuahidi ndoa jua ilikua ni trick ya kuiomba na usiwe unatarajia atakwambia naiomba TU hivi hivi!!

Makininika!
 
Msitafute ndoa tafuteni mapenzi! Ndoa ni hitimisho tu!
Na kama hutaki kutawaliwa kama alivyosema mwanajf mmoja humu!
  • Hujui kujishusha
  • Hujui kupotezea mambo
-Huna heshima na utii
Tukutane kwenye gusa achia ndoa huwezi mywangu.
 
Maisha yanakupeleka slow jam but with sure of the life
 
Tangazo lako lipo kimkakati Sana saaf
 
Ukiona anakuumiza na hajali basi jua huko alikopita ameumizwa badly.
 
Mkiambiwa kila siku hamsikii!
Muoaji huwa hatangazi huchukua maamuzi ya ghafla
Mm nilisex nae after 3 days akaanza kupeleleza familia yangu ili aje alete posa ndani ya mwezi mmoja alikuwa ameshakamilisha kila kitu na anataka ndoa!
 
Juzi tu hapa baada ya kupata kazi nikapata na mpenzi.
Eti leo tena nimeachwa
Yaani kazi umepata January..
Januari hiyo hiyo umepata na mpenzi..
Ndani ya hiyo hiyo januari umeshampa kila kitu na mmeshapanga na mipango ya ndoa!
Dada hebu punguza spidi kidogo
 
Kwan alikuw anakula vya watu alafu mzgo akaw anazngua

Jamaa akaona asiwe boyaa (mnyonge)
 
Yaani kazi umepata January..
Januari hiyo hiyo umepata na mpenzi..
Ndani ya hiyo hiyo januari umeshampa kila kitu na mmeshapanga na mipango ya ndoa!
Dada hebu punguza spidi kidogo
Dada etu akajua mwaka ameuanza gud, kwakujua amepga ndege wawili jiwe moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…