Wanaume mna shida sana

Hahaha siamini km huu uzi ni wako [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hivi kweli ni ww au umemwandikia mtu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kwanini jamani? Ni mimi siku moja moja
 
Wanawake wa mjini wa dizaini hii wengi ni wauzaji tu.


Siku ya kazi saa 8 usiku mtu yupo bar kakaa na mwanaume meza moja unapata picha halisi kabisa lakini wakija humu wanajifanya wapo class ya juu.

Na usishangae ukasikia mtu wa namna hii ana mtt mdogo nyumbani lakini saa 8 ya usiku yupo bar.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kwanini jamani? Ni mimi siku moja moja
Duh me siendelei kusema ila imeniuma sn maana ww ni mpendwa nakuonaga kwenye mapambio J2 sasa huu uzi duh
 
Mnajuaga kujimaliza hadi raha.
 
Hahahahahahaha

OMG...ngoja nitoke hapa
 
Kosa lako we kwanini umemtafuta asie na cash$$$ af unakuja kuwaimba wanaume huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…