.......muwapunguzie mateso jamani. Dada wa watu uchumba unakaa nae miaka 5 kisha unaenda oa mwingine jamani, ujue kuweni na imani walau kidogo.Vipi wewe Blue umeamua kuwa watofauti, au unafuatisha wanawake wenzako?
ndugu yake Dav kila kona hupo unapenda kuzurura wewe! 😀😅😅😅halafu kweli 😅😅😅
Mkuu nili wahi kuwa karibu na binti 1(rip), we were close na tuli kuwa tuna zungumza mengi.Tatazo wenzetu wakipenda wamependa kweli, sasa huku kwetu anakaa na ww miaka mitatu au zaid alafu haupo peke yako anafanya kuwashindanisha kama ligi ya mbuzi.
Mwisho anaoa mwingine, baadae mambo yakimuendea mrama anakuja kukuambia kuwa alirogwa. Kumbe ni lana za aliowapotezea muda.
Kama anafaa kwann uchelewe oa, na kama hafai kwann kumpotezea muda temana nae. Watu wana uchumba sugu na moyoni anajua dhahir shahir kuwa hatamuoa binti wa watu. Inaskitsha
mkuu me before dating, lazima tuulizane kwanini tuna kuwa kwenye mahusiano ??........muwapunguzie mateso jamani. Dada wa watu uchumba unakaa nae miaka 5 kisha unaenda oa mwingine jamani, ujue kuweni na imani walau kidogo.
sina shida mihe,, muhimu kuna kidume nakisubiriNtajipata at 70yrs uje uniuguze
Mkuu sio ata ni hata!.Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
Mpaka nimepata makengezaJipigepige mfukoni na kwenye maziwa mwambie baby kuna hutu tumilioni kadhaa aharakishe hilo jambo
Nikifikiria ndoa nashindwa kuielewa hii chumaView attachment 3215606
Wifi kama wifi 😅😅😅😅ndugu yake Dav kila kona hupo unapenda kuzurura wewe! 😀
Hakika ww ni mfano wa kuigwa, lakn wenzio hawaulizi zaid sana wanadanganya ooonh nitakuoa.....si mwanamke tu anapotezewa muda hata ninyi wanaume kuwa kweny mahusiano ambayo hujui hatma yake ni kupotezeana muda.mkuu me before dating, lazima tuulizane kwanini tuna kuwa kwenye mahusiano ??.
is it for fun , Kama yes, then I'm out.
Kama yenyewe we make it no matter what .
angalizo, kuachwa kupo kutokana na Sababu mbali mbali.Hakika ww ni mfano wa kuigwa, lakn wenzio hawaulizi zaid sana wanadanganya ooonh nitakuoa.....si mwanamke tu anapotezewa muda hata ninyi wanaume kuwa kweny mahusiano ambayo hujui hatma yake ni kupotezeana muda.
are u redi x3sina shida mihe,, muhimu kuna kidume nakisubiri
here waiting hundred timesare u redi x3
Sikukatishi tamaa na pia sikutii moyo.here waiting hundred times
I don't care.Sikukatishi tamaa na pia sikutii moyo.
Hizi hasira zote ni za mwezi dume January, Mi naonaga mifugo tu ndo hainaga muda wa kusubiri, mwanamke ukishamfikisha ndani akaona ulivyo anaanza kuwaza na kulinganisha sehemu alizopelekwa hapo awali, usipokuwa makini Kuna vitu vyako vitasombwa na huo ndo unakuwa Mwisho wa kujuana, ifike hatua muwe mnawauliza hata mama zenu walivyofanikiwa kukaa hata Kwa machale kwenye ndoa zao na kwazaa ninyi.Ati mwanaume anakwambia honey sasa ivi mimi najitafuta kwa mda wa miaka mitatu naomba unisubirie! Hapo tayari ana kazi ambayo inamueka mjini alaf anakwambia bado anajitafuta umsubirie!
You don't even put a ring on it alaf unataka mwanamke akusubiri? Akija mwanaume mwingine amkatae kisa anakusubiria wewe ati unajitafuta! Na ata ukijipata mwanamke anakuwa hana uhakika kama utaendelea kua nae!
Mjiongeze kidogo kama unataka mwanamke akusubirie basi oa. Msitupime uvumilivu wetu! Nikusubirie ukishazipata uende kuoa mwingine mi nikae nakodoa macho. Kwendeni zenu kule! Mama yako tu ndo anaeza kukusubiri ujitafute kwa miaka yote iyo.
🤣🤣 Ajipate saa ngapi !! Yeye kazi yake ni kudemand ndoa ! Vijana msioe mpaka mtakaporidhia kwamba mpo tayari kwa jambo hilo !!Mkuu hapo ukimaanisha wewe unakuwa tiyari ushajipata uko na pesa na kazi yako kwa ujumla? ......au wewe suala la kutafuta pesa na kujipata halikuhusu?